Maria Sarungi Tsehai(@MariaSTsehai) 's Twitter Profile Photo

Leo haitakuwa hewani kutokana na sikukuu
Tunawatakia nyote Eid Mubarak na tuonane ktk bunge letu Jumatatu 15 April πŸ™πŸ½

Leo #MariaSpaces haitakuwa hewani kutokana na sikukuu
Tunawatakia nyote Eid Mubarak na tuonane ktk bunge letu Jumatatu 15 April πŸ™πŸ½
account_circle
Edison Myinga(@EdisonMyinga1) 's Twitter Profile Photo

Leo haitakuwa hewani kutokana na sikukuu
Tunawatakia nyote Eid Mubarak na tuonane ktk bunge letu Jumatatu 15 April πŸ™πŸ½

Leo #MariaSpaces haitakuwa hewani kutokana na sikukuu
Tunawatakia nyote Eid Mubarak na tuonane ktk bunge letu Jumatatu 15 April πŸ™πŸ½
account_circle
Joel Msuya(@JoelHamisMsuya) 's Twitter Profile Photo

Mafuriko Rufiji yamesabaishwa na maji kutoka bwawa la Nyerere, Serikal inasema kulikuwa na mafuriko toka zamani,Je bwawa limejengwa bila kuzingatia usalama wa wananchi sababu zaman kulikuwa na mafuriko?Serikali ina wajibika vip kulinda usalama wa wananchi?

Mafuriko Rufiji yamesabaishwa na maji kutoka bwawa la Nyerere, Serikal inasema kulikuwa na mafuriko toka zamani,Je bwawa limejengwa bila kuzingatia usalama wa wananchi sababu zaman kulikuwa na mafuriko?Serikali ina wajibika vip kulinda usalama wa wananchi?#MariaSpaces #KatibaMpya
account_circle
#WenyeNchiWananchi(@KatibaMpyaTz_) 's Twitter Profile Photo

Wananchi tutajadili hali ya Uwajibikaji na jinsi itawezesha wananchi kuwajibisha viongozi wake. Serikali ya CCM inasema inatumikia wananchi, Kwa nini inakwamisha Katiba Bora inayotoa nguvu kwa wananchi kuwajibisha ?

Wananchi tutajadili hali ya Uwajibikaji na jinsi #KatibaMpya itawezesha wananchi kuwajibisha viongozi wake. Serikali ya CCM inasema inatumikia wananchi, Kwa nini inakwamisha Katiba Bora inayotoa nguvu kwa wananchi kuwajibisha ?   #MariaSpaces  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wanadai ili kupata viongozi wanaofanya kazi kwa uwazi na weledi na wanaozingatia maslahi ya wananchi. Wananchi wanataka kuwajibisha wabunge wanapokwenda nje ya malengo yao, Hili ni suala jema na msingi wa kuwa na .

Wananchi wanadai #KatibaMpya ili kupata viongozi wanaofanya kazi kwa uwazi na weledi na wanaozingatia maslahi ya wananchi. Wananchi wanataka kuwajibisha wabunge wanapokwenda nje ya malengo yao, Hili ni suala jema na msingi wa kuwa na #KatibaMpya. #MariaSpaces  #WenyeNchiWananchi
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Mafuriko Rufiji yamesabaishwa na maji kutoka bwawa la Nyerere, Serikali inasema kulikuwa na mafuriko toka zamani, Je bwawa limejengwa bila kuzingatia usalama wa wananchi ? Serikali ina wajibika vipi kulinda usalama wa wananchi?

Mafuriko Rufiji yamesabaishwa na maji kutoka bwawa la Nyerere, Serikali inasema kulikuwa na mafuriko toka zamani, Je bwawa limejengwa bila kuzingatia usalama wa wananchi ? Serikali ina wajibika vipi kulinda usalama wa wananchi?    #MariaSpaces #KatibaMpya
account_circle
#WenyeNchiWananchi(@KatibaMpyaTz_) 's Twitter Profile Photo

Kunapokuwa na tuhuma kubwa serikalini, bunge linawajibu kuunda kamati za uchungulizi na kutoa maazimio, Bunge limekaa kimya Kuhusu Ngorongoro na Mbarali watu wakiporwa ardhi, Tupate Katiba Bora kuimarisha Bunge.

Kunapokuwa na tuhuma kubwa serikalini, bunge linawajibu kuunda kamati za uchungulizi na kutoa maazimio, Bunge limekaa kimya Kuhusu Ngorongoro na Mbarali watu wakiporwa ardhi, Tupate Katiba Bora kuimarisha Bunge. #MariaSpaces  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
Edison Myinga(@EdisonMyinga1) 's Twitter Profile Photo

Mafuriko Rufiji yamesabaishwa na maji kutoka bwawa la Nyerere Serikali inasema kulikuwa na mafuriko toka zamani Je bwawa limejengwa bila kuzingatia usalama wa wananchi Serikali ina wajibika vipi kulinda usalama wa wananchi?

Mafuriko Rufiji yamesabaishwa na maji kutoka bwawa la Nyerere Serikali inasema kulikuwa na mafuriko toka zamani Je bwawa limejengwa bila kuzingatia usalama wa wananchi Serikali ina wajibika vipi kulinda usalama wa wananchi?#MariaSpaces #KatibaMpya
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wanadai ili kupata viongozi wanaofanya kazi kwa uwazi na weledi na wanaozingatia maslahi ya wananchi. Wananchi wanataka kuwajibisha wabunge wanapokwenda nje ya malengo yao, Hili ni suala jema na msingi wa kuwa na .

Wananchi wanadai #KatibaMpya ili kupata viongozi wanaofanya kazi kwa uwazi na weledi na wanaozingatia maslahi ya wananchi. Wananchi wanataka kuwajibisha wabunge wanapokwenda nje ya malengo yao, Hili ni suala jema na msingi wa kuwa na #KatibaMpya. #MariaSpaces  #WenyeNchiWananchi
account_circle
#WenyeNchiWananchi(@KatibaMpyaTz_) 's Twitter Profile Photo

Nchi ni ya wananchi, lakini haki za wananchi zinavunjwa kila siku na vyombo kama mahakama na polisi hakuna haki inayopatikana. Kwa nini CCM inakataa mchakato wa ambao utasaidia kupunguza ukiukwaji wa haki hizi?.

Nchi ni ya wananchi, lakini haki za wananchi zinavunjwa kila siku na vyombo kama mahakama na polisi hakuna haki inayopatikana. Kwa nini CCM inakataa mchakato wa #KatibaMpya ambao utasaidia  kupunguza ukiukwaji wa haki hizi?.  #MariaSpaces  #WenyeNchiWananchi
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Serikali imefanya miradi mikubwa yenye maswali mengi na utata. Suala la bwawa la Nyerere kwa sasa linatishia maafuriko Rufiji pamoja na maisha ya watanzania. Lakini haya yalisemwa na baadhi ya wataalamu wakapuzwa, Je katiba ya sasa inawajibisha ?

Serikali imefanya miradi mikubwa yenye maswali mengi na utata.  Suala la bwawa la Nyerere kwa sasa linatishia maafuriko  Rufiji pamoja na maisha ya watanzania. Lakini haya yalisemwa na baadhi ya wataalamu wakapuzwa, Je katiba ya sasa inawajibisha ? #KatibaMpya #MariaSpaces
account_circle
iam_Jac(@Iam_jac5) 's Twitter Profile Photo

Suala la bwawa la Nyerere kwa sasa linatishia maafuriko huko Rufiji ikiwa ni pamoja na maisha ya watanzania. Lakini haya yalisemwa na baadhi ya wataalamu wakapuzwa, Je katiba ya sasa inawajibisha? ?

Suala la bwawa la Nyerere kwa sasa linatishia maafuriko huko Rufiji ikiwa ni pamoja na maisha ya watanzania. Lakini haya yalisemwa na baadhi ya wataalamu wakapuzwa, Je katiba ya sasa inawajibisha? #KatibaMpya? #MariaSpaces #WenyeNchiWananchi
account_circle
iam_Jac(@Iam_jac5) 's Twitter Profile Photo

Kunapokuwa na tuhuma kubwa serikalini, bunge linawajibu kuunda kamati za uchungulizi na kutoa maazimio, Bunge limekaa kimya Kuhusu Ngorongoro na Mbarali watu wakiporwa ardhi, Tupate Katiba Bora kuimarisha Bunge.

Kunapokuwa na tuhuma kubwa serikalini, bunge linawajibu kuunda kamati za uchungulizi na kutoa maazimio, Bunge limekaa kimya Kuhusu Ngorongoro na Mbarali watu wakiporwa ardhi, Tupate Katiba Bora kuimarisha Bunge. #MariaSpaces  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
iam_Jac(@Iam_jac5) 's Twitter Profile Photo

Wananchi tutajadili hali ya Uwajibikaji na jinsi itawezesha wananchi kuwajibisha viongozi wake. Serikali ya CCM inasema inatumikia wananchi, Kwa nini inakwamisha Katiba Bora inayotoa nguvu kwa wananchi kuwajibisha ?

Wananchi tutajadili hali ya Uwajibikaji na jinsi #KatibaMpya itawezesha wananchi kuwajibisha viongozi wake. Serikali ya CCM inasema inatumikia wananchi, Kwa nini inakwamisha Katiba Bora inayotoa nguvu kwa wananchi kuwajibisha ?   #MariaSpaces  #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#WenyeNchiWananchi(@KatibaMpyaTz_) 's Twitter Profile Photo

Mradi wa Bwala la Nyerere ulipingwa na wananchi kuwa unatakiwa kufanyiwa upembuzi yakinifu kabla ya kujengwa, serikali ilikaidi sasa linasababisha mafuriko maeneo ya karibu. Je tunaiwajibishaje serikali isiyosikilza wananchi bila Katiba Bora?

Mradi wa Bwala la Nyerere ulipingwa na wananchi kuwa unatakiwa kufanyiwa upembuzi yakinifu kabla ya kujengwa, serikali ilikaidi sasa linasababisha mafuriko maeneo ya karibu. Je tunaiwajibishaje serikali isiyosikilza wananchi bila Katiba Bora?  #MariaSpaces #KatibaMpya
account_circle
Edison Myinga(@EdisonMyinga1) 's Twitter Profile Photo

Serikali imefanya miradi mikubwa yenye maswali mengi na utata. Suala la bwawa la Nyerere kwa sasa linatishia maafurko Rufiji ikiwa ni pamoja na maisha ya watanzania Lakini haya yalisemwa na baadhi ya wataalamu wakapuzwanJe katiba ya sasa inawajibisha ?

Serikali imefanya miradi mikubwa yenye maswali mengi na utata.  Suala la bwawa la Nyerere kwa sasa linatishia maafurko Rufiji ikiwa ni pamoja na maisha ya watanzania Lakini haya yalisemwa na baadhi ya wataalamu wakapuzwanJe katiba ya sasa inawajibisha ? #KatibaMpya #MariaSpaces
account_circle