Mdude Chadema(@mdudechadematz) 's Twitter Profile Photo

Huu ndio msingi wetu wa kudai , hebu fikiria nchi inapata Rais na makamu ambao wote hawakujiandaa wala kujipanga namna ya kuongoza nchi. Yani wote wameletwa kama parcel tu kwa nguvu ya dola. Huu ujinga lazima tuukomeshe ikibidi kutumia nguvu ya Umma kuizingira ikulu

account_circle
Martin. M . Charles(@TzGiza) 's Twitter Profile Photo

...Kwenye rasmu ya latiba Mpya inaeleza wazi juu ya mihimili mitatu ya serikali yaan Serikali,Bunge na Mahakama Kwa Kila mhimili ufanye kazi zake kwa weledi kama tungekubali kuipitisha haya makando kando yasingekuwepo.

...Kwenye rasmu ya latiba Mpya inaeleza wazi juu ya mihimili mitatu ya serikali yaan Serikali,Bunge na Mahakama Kwa Kila mhimili ufanye kazi zake kwa weledi kama tungekubali kuipitisha #KatibaMpya haya makando kando yasingekuwepo.
#KatibaMpya 
#WenyeNchiWananchi
account_circle
John Nguti Chadema(@JohnNgutiCDM) 's Twitter Profile Photo

CCM kwa sasa haizalishi viongozi ambao wanaweza kuja kushindana kwa hoja bali wanaokuja kuwa majambazi na kupora mali za umma. Bila ya hatuwezi kuwa na viongozi wanaolinda maslahi ya wananchi. — Begga Richard VIDEO : bit.ly/3yr5TQL

CCM kwa sasa haizalishi viongozi ambao wanaweza kuja kushindana kwa hoja bali wanaokuja kuwa majambazi na kupora mali za umma. Bila ya #KatibaMpya hatuwezi kuwa na viongozi wanaolinda maslahi ya wananchi.  — @BeggaRichard2 #WenyeNchiWananchi VIDEO :  bit.ly/3yr5TQL
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Hii ni Big Results Now aliyofuta Magufuli imerudi kwa namna tofauti

ni kama tuko kwenye lab or experimental Government , weka toa weka toa

tungepata tujenge sera bora za kiuchumi

account_circle
John Nguti Chadema(@JohnNgutiCDM) 's Twitter Profile Photo

CCM si chama bali genge la majambazi linalojiendesha kwa kivuli cha chama. Tushirikiane katika kudai ili kupata demokrasia ya kweli nchini. —
Begga Richard
VIDEO : bit.ly/3yr5TQL

CCM si chama bali genge la majambazi linalojiendesha kwa kivuli cha chama. Tushirikiane katika kudai #KatibaMpya ili kupata demokrasia ya kweli nchini.  — 
@BeggaRichard2
 #WenyeNchiWananchi VIDEO :  bit.ly/3yr5TQL
account_circle
DEUSDEDITH SOKA(@DEUSDEDITHSOKA) 's Twitter Profile Photo

Mamlaka za udhibiti rushwa TAKUKURU inatakiwa kuwa huru kimuundo na kifedha ili kuweza kuchukua hatua kwa watu wanaofanya ufisadi wa mali za umma au uzembe. Hii haiwezekani bila ya . Lakini je wananchi tunaiamini hii taasisi kutenda haki?

Mamlaka za udhibiti rushwa TAKUKURU inatakiwa kuwa huru kimuundo na kifedha ili kuweza kuchukua hatua kwa watu wanaofanya ufisadi wa mali za umma au uzembe. Hii haiwezekani bila ya #KatibaMpya . Lakini je wananchi tunaiamini hii taasisi kutenda haki? #MariaSpaces #KatibaMpya
account_circle
John Nguti Chadema(@JohnNgutiCDM) 's Twitter Profile Photo

Rais kudharau kuita katiba ni kajitabu tuu inathibitisha kukanyaga kwakwe katiba na ingekuwa nchi nyingine angejiuzuru. Tunahitaji viongozi wanaoheshimu katiba. —
Anna Peter
VIDEO : bit.ly/3WOSPPm

Rais kudharau kuita katiba ni kajitabu tuu inathibitisha kukanyaga kwakwe katiba na ingekuwa nchi nyingine angejiuzuru. Tunahitaji viongozi wanaoheshimu katiba. — 
@muwezayote
 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3WOSPPm
account_circle
SUKUNUNU 🇹🇿(@sukununu01) 's Twitter Profile Photo

Nitakuwepo 26 May 2024 MAJIRA ya 12:00 Mchana ambapo tutaanzia pale
kwa Azizi Ali KUMPOKEA MH Tundu Antiphas Lissu Kisha tutaandamana kuelekea viwanja vya Mwembe Yanga

Nitakuwepo 26 May 2024 MAJIRA ya 12:00  Mchana ambapo tutaanzia pale
kwa Azizi Ali KUMPOKEA MH @TunduALissu Kisha tutaandamana kuelekea viwanja vya Mwembe Yanga
#KaribuTemekeKiumeni26
#KatibaMpya
account_circle
DEUSDEDITH SOKA(@DEUSDEDITHSOKA) 's Twitter Profile Photo

🔥🔥🔥
Bado tunaendelea kuwaimiza vijana na watu wote siku ya kesho kujitokeza kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara utakaofanyika viwanja vya TEMEKE na kuhutubiwa na Makam Mwenyekiti Mh Tundu Antiphas Lissu

#AMSHA #AMSHA #AMSHA 🔥🔥🔥
Bado tunaendelea kuwaimiza vijana na watu wote siku ya kesho kujitokeza kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara utakaofanyika viwanja vya #MWEMBEYANGA  TEMEKE na kuhutubiwa na Makam Mwenyekiti Mh @TunduALissu 
#KaribuTemekeKiumeni26
#KatibaMpya
account_circle
John Nguti Chadema(@JohnNgutiCDM) 's Twitter Profile Photo

Watanganyika hatutakaa kimya kushuhudia udalali wa rasilimali za Tanganyika unaofanywa na huyu Mama mzanzibari kwa kivuli cha kile kinachoitwa MUUNGANO, Nitasimama kuhesabiwa kwa maslai ya Tanganyika yangu.

NiSasa.

Watanganyika hatutakaa kimya kushuhudia udalali wa rasilimali za Tanganyika unaofanywa na huyu Mama mzanzibari kwa kivuli cha kile kinachoitwa MUUNGANO, Nitasimama kuhesabiwa kwa maslai ya Tanganyika yangu.
#KatibaMpya
#KatibaMpyaNiSasa.
account_circle
Martin. M . Charles(@TzGiza) 's Twitter Profile Photo

Shughuli nyingi za utekaji na upotezaji watu zinafanywa na serikali. Kazi ya kufuatilia mtu mmoja mmoja anayekosoa serikali inafanywa na serikali yenyewe. Serikali inahitaji kudhibitiwa na . — Mdude Chadema VIDEO : bit.ly/3yr5TQL

Shughuli nyingi za utekaji na upotezaji watu zinafanywa na serikali. Kazi ya kufuatilia mtu mmoja mmoja anayekosoa serikali inafanywa na serikali yenyewe. Serikali inahitaji kudhibitiwa na #KatibaMpya . —  @mdudechadematz #WenyeNchiWananchi VIDEO :  bit.ly/3yr5TQL
account_circle
Joel Msuya(@JoelHamisMsuya) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wa TEMEKE wanasema wanahitaji kabla ya 2025. Wananchi wa TEMEKE wanasema uwezekano wa kuipata KATIBA MPYA upo hata sasahivi ila unakwamishwa na kiburi cha WATAWALA, tusimame kuipigania KATIBA MPYA.
👊✌️

account_circle