#5Selekt : @conniebeily anasema kwake ni bora kuwa na Shuga Daddy kuliko vijana wa rika lake katika mahusiano.
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Kitu gani cha kipuuzi umewahi kufanya kwenye mapenzi?
Usikose kutazama #5Selekt ya #EastAfricaTV na team ya ushuani #Modoo255 & #ConnieBeily kuanzia saa 11:00 jioni.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
QUIZ: Taja mchezaji bora wa Ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2022 – 2023
.
.
.
.
.
Dondosha comment yako hapo chini, majibu utapata kwenye #5SELEKT kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 11:00 jioni EATV.
#QUIZ #DONDOO #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Msaniii wa kizazi kipya Zoshie anasema kuna siku walijiandaa kwenda kuimba Kwenye stage kwa muda wa wiki mbili hadi kujinyima kula lakini ilipofika siku ya event, management ya darasa iliwakataa na kuambiwa hawatoweza kuimnba.
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka …
#5Selekt : Unaamini muziki wa Hip Hop hapa Bongo umekufa kisa haufanyi vizuri nje ya Tanzania?
cc @modoo_255 @conniebeily
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt ; Ni mwaka gani ulipitia kipindi kigumu zaidi kwenye maisha na ilikuwaje?
Tukutane kwenye #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11;00 jioni.
cc @modoo_255 @conniebeily
#EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Hivi umewahi kuambiwa neno gani na mtu na likakuumiza sana na hutosahau maisha yako yote?
Usiikose #5Selekt ya #EastAfricaTV kuanzia saa 11:00 jioni.
cc #modoo255 & #conniebeily
#EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : Discussion ya @modoo_255 na @conniebeily kuhusu Producers wakali kwenye muziki wa Bongofleva, kwako nani Mtayarishaji bora wa muziki hapa nchini?
#5Selekt #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#5Selekt : @modoo_255 kashaibiwa wazo lake la vipindi na kuahidiwa ataitwa wewe ni wazo gani lako uishawahi kuibiwa na watu katika biashara au kitu kingine chochote?
#5Selekt #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
Triple C alijiunga na kikosi cha Simba SC mwaka gani?
.
.
.
Dondosha comment yako hapo chini, majibu utapata kwenye #5SELEKT kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 11:00 jioni EATV.
#QUIZ #DONDOO #EastAfricaTV #hainakuchoka