#VIDEO Ujenzi wa Uwanja wa mpira wa miguu wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam, umefikia asilimia 95, huku ujenzi huo ukitarajia kukamilika na kukabidhiwa kwa manispaa ya Kinondoni ndani ya Mwezi Mei, 2024.
#EastAfricaTv #EATVSAA1 #UtajiriWaHabari #KMCComplex โฆ
#KIPENGAXTRA Shabiki wa klabu ya Simba, @nabii_meja anasema Azam sio kipimo tosha kwa Mgunda, ili kumpima Mgunda basi akabidhiwe Yanga.
Je, ni kweli Yanga ndiyo kipimo cha Simba๐คท?
#KipengaXtra #EastAfricaTV
Leo tujadiliane hapa pamoja, hivi kawaida ni vitu gani unapopatwa na hasira hupaswi kuvifanya na unapaswa kuepukana navyo?
Dondosha comment yako hapa. #EastAfricaTV
#PICHA Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACTWazalendo Ndugu Othman Masoud Othman, amekabidhiwa uchifu na wazee wa Kahama kuwa Mtemi/Chifu wa kabila la Wasukuma na Wanyamwezi. #EastAfricaTV
#PICHA Baadhi ya Viongozi, Wadau na Wananchi wakiwa katika hafla ya maadhimisho ya miaka 62 ya Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Tanzania Red Cross Society inayofanyika leo Mei 11, 2024 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma ambapo washiriki kutoka nchi za Uganda, Hispania, Botswana,โฆ
HII NI KWA VYOMBO VYOTE VYA HABARI INAWAHUSU
ITVTanzania Azam TV WasafiTv
EastAfricaTV Wasafifm
EastAfricaRadio
STAR TV TBCOnline Radio One Stereo
E Digital