#SwalaKuu : Nilitiwa mbaroni kwa kesi inayohusiana na makahaba nilipomwita mke wangu katika kituo cha polisi alikataa kunisaidia na akafunganya virago akaenda kwao. Je, nifanyeje?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Licha ya hali ngumu ya kiuchumi, mke wangu hataki tuhamishe watoto wetu kutoka kwa shule walioko sahii ambayo nahisi karo iko juu. Je, nifanyeje?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Mke wangu hataki niuze shamba niliyo inunua. Je, nifanyeje ?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Je, ni sawa kumsaidia mke wako kazi za nyumbani?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Tumezaliwa watano kwetu ila mama yangu mzazi huleta mvurugano kati yetu kwa manufaa yake. Je, nifanyeje?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Baba mkwe ananitishia yakwamba nisipomtumia hela hatabariki ndoa yote. Je, ni lazima kumtumia baba mkwe pesa ?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu :Baba mzazi alitoroka na akatuwacha tukiwa wachanga sasa nimekua mkubwa nataka kuoleka amejitokeza akadai anatakwa ahusishwe kwenye mipango za mahari. Je, nifanyeje?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Wakati wowote mke wangu na mama yangu wanagombana, sijui nimuunge mkono nani na nani wa kusahihisha jambo hili linanitatiza sana Je, nifanyeje?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
Tunajadili utapeli katika ndoa na mahusiano za siku hizi #'swalakuu
Karibu ndani ya #DriveOnReloaded
Radio Citizen
#SwalaKuu : Ni nini hicho kinakufanya wewe ujivunie majeshi yetu ya Kenya?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Je, ni kweli kusema sisi wote ni wafisadi ni nafasi tumekosa?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Nilimdanganya mume wangu yakwamba ex wangu ambaye tulijaliwa mtoto mmoja aliaga. Sasa nahofia ex wangu anaeza rudi kuchukua mtoto wake. Je, nifanyeje?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOn
#SwalaKuu : Je, unapowatembelea wazazi wako, ni sawa kumpa mama mzazi pesa/zawadi mingi kuliko baba ama unawapa wote kiwango sawia?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Je, ungekuwa Mwislamu siku ya leo ungependa uitwe nani?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Je, ni nini kilichochea mahusiano yako kufeli ama ndoa yako kuvunjika?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
#SwalaKuu : Je, ni sawa kwenda kumtembelea mwanamke ambaye sio mke wako kwake?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne