Radio Jambo Morning 🌞 from kiambu water and sewerage co
#GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Ijumaa tayari ishafika! mpango wa wikendi ni upi? Asubuhi hii unatusikikza ukiwa wapi?
#GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Gidi Ogidi Jacob "Ghost" Mulee
Jamaa na familia yake wasema wanangoja finance bill ipitishwe ili wajue bidhaa ambazo zitaongezwa bei ndiposa watoe mahari. Hivo ndivyo alikosa mke!
#StoryZaGhost
#GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Radio Jambo Gidi Ogidi @ghostmulee #GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Nairutia Laikipia ndani saaana📌📌📌
Radio Jambo Gidi Ogidi Jacob "Ghost" Mulee Good morning viongozi pamoja leba #gidinaghostasubuhi #ongeausikike
Kati ya kampuni kumi na moja zilizopewa kandarasi ya mafuta, nne zinamilikiwa na mwanabiashara mmoja kwa jina Bi Mary Wambui. Hii ni Mika wapi ya taarifa zilizo angaziwa kwenye magazeti ya leo. Maoni yako ni gani?
#GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Apora: 'Mfurahie mke wa ujana wako. Mtu aoe mtu wa rika yake.'
#Patanisho
#GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Seneta mteule wa UDA Bi Mary, apendekeza sheria mpya bungeni kwamba ikiwa umeolewa kisha upoteze mume wako, kisha uamue kuoa ama kuolewa tena, basi haufai kudai mali ya marehemu.Kuchangia maoni yako, piga simu 0204445975 ama sms kwa 22494.
#GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Radio Jambo Gidi Ogidi Jacob "Ghost" Mulee Nairutia Laikipia 📌📌 #GidiNaGhostAsubuhi
#OngeaUsikike
Mko aje Team yangu ya nguvu huku baridi katukalia tisa sufuri.