Radio Jambo
@RadioJamboKenya
Ongea usikike! 🇰🇪 97.5 NRB | 92.3 MSA | 100.1 KSM | 96.9 NKR | 99.5 ELD | 99.3 NYERI | 92.7 MERU | 95.3 WEBUYE | 89.3 KISII | 104.9 KITUI | 105.7 VOI | 📻
ID:2515401066
https://radiojambo.co.ke 22-05-2014 13:13:01
437,2K Tweets
245,4K Followers
311 Following
Uwanja wa ndege wa Dubai ulisema shughuli 'zilibadilishwa kwa muda' - ingawa zimeanza tena. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/kimatai…
Wakati mgomo wa madaktari unaendelea kutokea, hospitali na makafafaru wanaeleza kuwa kuna ongezeko la idadi ya vifo vya watu wanaopelekwa huko wakati mzozo kati ya madaktari na serikali ukiendelea. #GidiNaGhostAsubuhi #UchambuziWaMagazeti #KituoChaWakenya
Kanyari, hata hivyo ameutilia uzito wimbo huo akisema kuwa hakuna ‘mbegu’ zilizopotea. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/dakia…
'Hebu tuweni na nguvu sawia, zile nguvu ambazo watu hutumia kuchangisha wakati mtu amekufa, tuzitumie kufanikisha maisha ya watu wakiwa hai, acha tuwafanye wajue kuwa tunawathamini.' #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/masta…
'COTU imepokea malalamishi mengi kuhusu hali hiyo hiyo kupitia chama chetu tawi. ' #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/uhondo/…
Burgos kisha akasema: 'Ikiwa hatafanya vizuri, anaishia kwenye taa', kisingizio kikiwa kwamba angekuwa maskini kama si soka. Yamal alizaliwa nchini Uhispania na wazazi wa Morocco na Equatorial Guinea. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/michezo/footba…
Msichana mdogo alirudisha maikrofoni kwenye kituo chake kabla ya kuachia tabasamu pana. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/2024-…
Aidha alimpongeza Mueni Nduva kwa uteuzi wake. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/taarifa…
“Niliweka pilipili kwa suruali ya dada yangu kwa sababu alikuwa ananisema kwa mama yangu” #mbusiinalioneteketeke #ToboaSiri #MapozTuesday #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C503iwaIV…
Kesi hiyo itatajwa Aprili 23, 2024, ambapo mahakama pia itatoa uamuzi wa hukumu ya awali ya dhamana. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/mahakam…
“Nilikopesha mjomba wangu elfu tano lakini hakunirudishia” #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #LipaDeni #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C5015czIL…
Odhiambo amefafanua kuwa picha hiyo ilikuwa ya mazungumzo ya zamani ya kikundi na ilikusudiwa kama mzaha. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/2024-…
Karibu katika temple ya waras upate kuburudishwa na MBUSII DEH HSC na ENUFA LION AHOM na wimbo ni Dj slim i #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya
Tesla ina wastani wa wafanyikazi 140,000, ambayo inamaanisha kuwa 14,000 wanatarajiwa kupoteza kazi zao - na mamia ya majukumu yanaweza kupotea katika mataifa mbalimbali ambako kampuni hiyo inahudumu. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/uhondo/…
'Niliwaza kwamba ndio ninaweza amau na nimnunulie simu hiyo lakini nilitaka nyinyi mashabiki wake mshukuru kwa kazi nzuri anayowafanyia, kwa hiyo tuje pamoja kama familia na kumnunulia simu,” Obinna alieleza. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/masta…
Nganga alituma tena video ya matamshi ya mke wa rais na kumtaka ajiepushe na kuhusisha thamani ya shilingi ya Kenya dhidi ya dola na uingiliaji kati wa Mungu. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/2024-…
“Hata ukiangalia, tangu sisi tuanze, kwa mfano mimi nilitambulika kimuziki 2012 lakini mpaka sasa hivi bado tuko kwa game, si eti kwa sababu tunapenda bali ni juu hakuna wasanii wapya.' alisema.
#KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/burudani/masta…
Nevatim, aliwaambia wanajeshi wa angani kwamba hatua ya Iran kurusha makombora haiwezi kuachwa kupita bila kujibiwa. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/kimatai…