MNYIKA John John
@jjmnyika
CHADEMA Secretary General | MP, Kibamba constituency (2015-2020)| Former MP, Ubungo Constituency (2010-2015) | Deputy Secretary General-Mainland (2014-2019)
ID:89898588
http://mnyika.blogspot.com 14-11-2009 08:18:07
15,7K Tweets
1,0M Followers
29,3K Following
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiteta jambo na Katibu Mkuu Mhe. MNYIKA John John katika kikao cha Kamati Kuu ya Chama kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es Salaam, leo ikiwa ni siku ya pili ya kikao hicho.
Mwenyekiti Taifa Mhe. Freeman Mbowe kituo kinachofuata ni Mkoa wa Tanga. Maandamano yatafanyika Tanga Mjini.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu kituo kinachofuata ni Mkoa wa Dodoma. Maandamano yatafanyika Dodoma Mjini.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Update: 15:45 Jeshi la Polisi linawatoa muda huu Boniface Jacob na MalisaGJ katika kituo cha Polisi Mbweni na kuwapeleka Polisi sentro kwa kinachoitwa 'mahojiano zaidi'.
Police Force TZ acheni ushamba wachilieni huru haraka Bon & Malisa #FreeBonAndMalisa
Makamu Mwenyekiti bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu ataongoza maandamano ya amani Babati Mjini, Mkoa wa Manyara.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Mwenyekiti Freeman Mbowe kituo kinachofuata ni Mkoa wa Mara. Maandamano yatafanyika Musoma Mjini.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Bariadi imeitwa ikaitika.
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe akizungumza na wananchi wa Bariadi.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano