Nice Gisunte(@Nice_Gisunte) 's Twitter Profile Photo

Leo katika mkutano wa hadhara kata ya Levolosi, Jimbo la Arusha Mjini. Hakika wananchi wanazidi kuhamasika.
Tukutane kesho kwenye maandamano ya amani.

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Naelezwa, baada ya ufuatiliaji wa kutosha, tumebaini huyu ndiye mtu anayepiga picha za pembeni na katika vilinge ambavyo maandamano hayajafika kuonesha kwamba maandamano hayana watu. Tunaweza kushughulika naye au tumpotezee tu?

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Viwanja vya Ruanda-Nzovye,Mbeya, mvua imenyesha kubwa sana, tumelazimika kuhairisha mkutano wetu hapa, tutarudi tena Mbeya. Licha ya mvua kunyesha kubwa, lakini wananchi wa Mbeya wamejitokeza wa kutosha sana. Tunawashukuru sana. πŸ™ŒπŸΎπŸ™πŸ½

account_circle
Henry Kilewo(@HenryKilewo) 's Twitter Profile Photo

MAANDAMANO YA AMANI MBEYA

Kituo Cha uyole Jijini Mbeya anaongoza Makam Mwenyekiti CHADEMA Taifa Mhe.Tundu Lissu Burudani inaendelea.

.

account_circle
Talanta Mhanga(@MhangaTalanta) 's Twitter Profile Photo

Maandamano yakiwa yamefika maeneo ya Usalama, yakielekea Shekilango, ambapo yataungana na maandamano yaliyoanzia Mbezi mwisho.

account_circle
Henry Kilewo(@HenryKilewo) 's Twitter Profile Photo

Arusha tayari kwa maandamano makubwa ya kihistoria Tarehe 27/02/2024, Kila mmoja wetu anajukumu hilo kubwa la kuhakikisha sauti zinaunganishwa na kupazwa kwa pamoja,Mtawala anayejielewa husikiliza sauti za Wananchi na mtawala asiyejielewa hupuuza Wananchi.

account_circle