Maandamano ya Amani Moshi
30 April 2024. Moshi na viunga
Vyake itasimama. #30AprilMaandamanoMoshi
Asante sana Mhe Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa kuongoza maandamano ya kupigania HAKI. Asanteni Geita
Vigogo wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Tundu Lissu, hii leo wameandaa maandamano makubwa maeneo tofauti tofauti nchini Tanzania ambapo leo ni siku ya nane tangu maandamno hayo kuanza siku ya Jumatatu wiki iliyopita.
#MwanzoHabari
Habari zaidi: youtube.com/live/29tb-Yngo…
Maandamano ya Sengerema, Mwanza yakiwa yamefika eneo la Mission.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano