Thrilled to announce the 1st SheLeads Media Fellows! π°πͺπΊπ¬π·πΌπΉπΏ
A record-breaking response brought us talented journalists from across East Africa. Congratulations to the 27 fellows & their powerful stories!
Stay tuned for their journeys!β¨
#SheLeads #BarazaPrograms
Baraza la Vita la Israel linafikiria kufanya mashambulio ya kulipa kisasi nchini Iran ambayo hayata sababisha vifo popote.
Ingawa Netanyahu yupo kwenye presha kubwa kutoka US na EU wote wakimkataza asifanye shambulio lolote kwa Iran.
#Behindthescene
#BilaGanzi
Leo jumatano Baraza la uongozi la CHADEMA mkoa wa kichama ILALA limeketi kikao chake cha kwanza kwaajili ya kujadili mipango na mikakati ndani ya mkoa wa ilala. Kikao hicho kimeongozwa na mwenyekiti wa chama mkoa Kamanda Waziri Mwenevyiale.
#KatibaMpya
#ChademaILaLa