Salary account ndio msaada kwako uwe Mtanzania ama Mgeni unayefanya kazi Tanzania.
Ukikwama katikati unavuta Salary Advance Hadi 50% ya mshahara wako hakuna kuomba Wana tena Hela ooh nikilipwa nakurejeshea.
Unaweza kopa Hadi 200 m usikae kinyonge.
#SwahibaLanguLako
Wivu umeanza mapema sana
Afisa habari mbunifu akimwelekeza bibie namna ya kulipia gharama mbalimbali kupitia Simbankinga ili bibie ajishindie Nissan Duals asipaukee #BenkiNiSimbanking
#SwahibaLanguLako
Mashabiki wa Msimbazi Hawakaagi Kinyonge 🔥
Je wewe unayo Account? Angalia jinsi ya kuomba yako kupitia SimBanking📱 Kama huna akaunti ya CRDB, Swahiba njoo tawini tutakusoti ufungue na upate kadi yako ya Simba💳. #SwahibaLanguLako #CRDBBank #tunakusikiliza
Mwananchi wa kweli
Huwa na kadi ya uanachama
Unaipataje? - Jisajili uwe mwanachama halali wa Yanga matawi yote ya CRDB
Ongeza thamani ya klabu jisajili #SwahibaLanguLako
Kwa wanawake wote ambao wametulea na wanalea watoto CRDB inawatakia heri ya siku ya Mama Duniani #HappyMothersDay2024
#SwahibaLanguLako
Kweli nguo za Captain sio za kila mtu 😂😂Anyway kwa Fasi ya CRDB semaji hilo ndani
#SwahibaLanguLako
Wewe mjasirimali/mfanya baishara!?
Tunakuletea Hodari Account Haina makato kikubwa inakuja na Lipa no kukuwezesha kupokea malipo kutoka kwa wateja wako.
Na rahisi kupata mikopo kukuza biashara yako.Tembelea tawi lolote la CRDB ufungue hii account.
#SwahibaLanguLako
Oya wenye michongo ya 10M kuna ujumbe wenu hapa kutoka kwa Eliud Anganile 😌
#SwahibaLanguLako
Endesha biashara yako kijanja
Rahisisha malipo kwa wateja wako kupitia Lipa hapa ya CRDB kwa mitandao yote na benki zote kwa lipa namba moja tu
Swahiba Je unaitaka lipa namba ya CRDB?
Hujachelewa bado tembelea tawi lolote la CRDB Bank
#SwahibaLanguLako
Leo nimekabidhiwa zawadi yangu ya ushindi na msanii Kontawa kaniambia CRDB Bank PLC wanaendeleza kutoa zawadi ya wataocheza jingle ya Swahiba Langu Lako ni rahisi shiriki post video yako tag CRDB bank weka #SwahibaLanguLako
Fanya vitu vinavyokupa raha zaidi, toka na watu wanaosisimua hisia zako #ElimikaWikiendi #SwahibaLanguLako
Simba Sc imecheza mechi 23 na imeruhusu magoli 23 ambapo 7 imefungwa na Yanga pekee
#SwahibaLanguLako
Nasemaje Nasemaje mashauzi yaendane na kipato
𝐓𝐞𝐦𝐛𝐨𝐂𝐚𝐫𝐝 ndo habari ya mjini inayomuwezesha kufanya matanuzi anavyotaka nje ya nchi🌎. Hii kadi ukiitaka unaweza kuiomba kwa *SimBanking*📱 au ibuka *tawini*. 🏦
#SwahibaLanguLako
Mama anasumbuliwa na kausha damu sikia mfungulie Malkia Account Toka CRDB Bank PLC.
Unafungua kwa 5000.
Unamuwekea akiba.
Mwisho wa mwezi anapata na gawio la faida.
Kama akiba zimefika 3 m anaweza kopa 90% ya fedha zake.
Tukimbie tawini
#SwahibaLanguLako