Misandali yateketezwa Maralal:
Serikali yaonya dhidi ya biashara haramu ya misandali
Misandali ya shilingi milioni mbili iliyonaswa imeteketezwa
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Mswada wa fedha 2024:
Viongozi wa UDA na ODM waofautiana
Ushuru wa bidha ana huduma umezua tofauti
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Tetesi za ushuru:
Wafanyabaishara katika sekta ya ufundi walalamika
Wanataka bunge kutupilia mbali ushuru wa betri
Wanasema kupanda kwa gharama kutaathiri biashara
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Rais wa Iran aombolezwa:
Rais William Ruto atoa rambirambi zake
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ameaga dunia
Ndege iliyokuwa imembeba ilianguka jana
Naibu Rais Mohammad Mokhber kushika usukani
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Ripoti ya uchumi:
Deni la kitaifa liliongezeka kwa takriban 19.3%
Ripoti ya KNBS inaonyesha deni lilifikia Ksh. 9.6T
Mzigo wa mishahara ya wafanyikazi wa umma ilifikia Ksh. 832.7B
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Maina Njenga kizimbani:
Mahakama inasikiza ushahidi dhidi ya Maina Njenga
Maina Njenga na wengine 11 wanakabiliwa na mashtaka 7
Inspekta wa polisi Samson Tanui anatoa ushahidi
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Athari ya mafuriko Isiolo:
Shughuli za uchukuzi zimetatizika Isiolo
Vijiji vya Sericho na Gubatu vimezingirwa na maji
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Mustakabali wa taifa:
Wananchi wanalalamikia kukabwa na gharama ya maisha. Mswada wa fedha unapendekeza ushuru zaidi kwa wananchi. Viongozi wameibua mdahalo kuhusu ugavi wa mapato kwa kaunti. Baadhi ya maeneo yameanza mikakati ya kujipanga kisiasa #SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Maoni ya Wakenya kutoka maeneo tofauti kuhusu mustakabali wa taifa #SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Mustakabali wa taifa:
Wananchi wanalalamikia kukabwa na gharama ya maisha. Mswada wa fedha unapendekeza ushuru zaidi kwa wananchi. Viongozi wameibua mdahalo kuhusu ugavi wa mapato kwa kaunti. Baadhi ya maeneo yameanza mikakati ya kujipanga kisiasa #SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Ukarabati wa barabara Machakos:
Usafiri katika barabara ya Machakos - Kangundo umetatizwa
KENHA imeanza kuondoa mawe yaliyoporomoka na kuziba barabara
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Athari za mvua Kericho:
Watoto wawili wa familia moja wamenusurika kifo
Hii ni baada ya chumba chao kuangukiwa na mti
Watoto hao walijeruhiwa na kupelekwa hospitalini
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Mustakabali wa taifa:
Wananchi wanalalamikia kukabwa na gharama ya maisha. Mswada wa fedha unapendekeza ushuru zaidi kwa wananchi. Viongozi wameibua mdahalo kuhusu ugavi wa mapato kwa kaunti. Baadhi ya maeneo yameanza mikakati ya kujipanga kisiasa #SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Mafunzo ya kidijitali Taita Taveta:
Walimu wapata mafunzo ya kidijitali
Mafunzo hayo kuwawezesha kutekeleza CBC
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Siku ya nyuki duniani:
Wafugaji wa nyuki wamekongamana Kajiado
Siku ya nyuki duniani inaadhimishwa Kajiado
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Mswada wa fedha 2024/25:
Viongozi wa Kisii waaa kupinga mapendekezo
Viongozi wanasema mswada umeongeza ushuru maradufu
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Hali duni ya shule Tharaka:
Wazazi wa shule ya msingi ya Kamutuandu wanalalamika
Shule hiyo imesalia katika hali duni baada ya mafuriko
Wanafunzi wamesalia bila vyoo na madarasa
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Rais wa Iran afariki:
Rais Ebrahim Raisi ameaga dunia
Ndege iliyokuwa imembeba ilianguka Kaskazini-Magharibi mwa Iran
Shughuli za kumuapisha Naibu Rais Mohammad Mokhber zinaendelea
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
'Wakenya wakijua jinsi ambavyo Pesa zao zinatumika watawajibika kutoa ushuru' CPA Robert Kamwara. #SemaNaCitizen #Maskani na Rashid Abdalla Citizen TV Kenya