Latto 𝕏(@Rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Wakati mkisubiri MZIKI WA MAMA,

Diamond yuko zake Paris, France anashoot video ya KOMASAVA..

Msiulize saana, yuko wapi...

Video kwa Comments👇🏾👇🏾

Wakati mkisubiri MZIKI WA MAMA,

Diamond yuko zake Paris, France anashoot video ya KOMASAVA..

Msiulize saana, yuko wapi...

Video kwa Comments👇🏾👇🏾
account_circle
BIG V🦅(@vistovic17) 's Twitter Profile Photo

Njia nzuri ya kutomchukia mtu ni kumpenda na kuendelea kumpenda . Diamond ukiangalia namna anapambana kufika international level za mziki Kama wizkid na davido Angalia komasava anavyoipambania na kuipa massive promotion
THREAD 🧵 🧵

Njia nzuri ya kutomchukia mtu ni kumpenda na kuendelea kumpenda . Diamond ukiangalia namna anapambana kufika international level za mziki Kama wizkid na davido Angalia komasava anavyoipambania na kuipa massive promotion 
THREAD 🧵 🧵
account_circle
Dullah_theKing🇹🇿(@DullahTheking2) 's Twitter Profile Photo

👉🏽Tulisema hapa kuwa hii 'KOMASAVA'🎶 itaenda zaidi ya 'SHU!'🎶....

Balaaa limeanza sasa, ukipita pale IG story ya 'PAUL POGBA' unakutana nayo 😅🙌🏽

Kumshindanisha ALMAS na wasanii wa EA ni kumkosea HESHIMA 🚶🏾‍♂️

👉🏽Tulisema hapa kuwa hii 'KOMASAVA'🎶 itaenda zaidi ya 'SHU!'🎶....

Balaaa limeanza sasa, ukipita pale IG story ya 'PAUL POGBA' unakutana nayo 😅🙌🏽

Kumshindanisha ALMAS na wasanii wa EA ni kumkosea HESHIMA 🚶🏾‍♂️
account_circle
Moshi Jnr(@moshijnr) 's Twitter Profile Photo

KOMASAVA .! KOMASAVA .! KOMASAVA .!

Hawa Al Ahly ni kwamba wameshindikana ? Wamebeba Ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika ×12 , hawa Al Ahly usipowazuia knockout stages basi ukuwakuta fainali

Kuna dalili za hivi karibuni kuwa ukimtoa Simba umetinga Fainali klabu bingwa Afrika😀

KOMASAVA .! KOMASAVA .! KOMASAVA .!

Hawa Al Ahly ni kwamba wameshindikana ? Wamebeba Ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika ×12 , hawa Al Ahly usipowazuia knockout stages basi ukuwakuta fainali

Kuna dalili za hivi karibuni kuwa ukimtoa Simba umetinga Fainali klabu bingwa Afrika😀
account_circle
Devvi parris(@devviparris) 's Twitter Profile Photo

Mimi naona kama hii trending ya s2kizzy kama ametumwa kutuzuga tu

tusiifatilie sana ngoma ya komasava tule mziki mziru tueendelee kubishana

ila hii idea ya komasavaa ni Lukuga kacopy kwa Konde boi kwa sababu konde alipiga kwenye weed mondi katupiga kwenye salamu 😎🎧

Mimi naona kama hii trending ya s2kizzy kama ametumwa kutuzuga tu 

tusiifatilie sana ngoma ya komasava tule mziki mziru tueendelee kubishana 

ila hii idea ya komasavaa ni Lukuga kacopy kwa Konde boi kwa sababu konde alipiga kwenye weed mondi katupiga kwenye salamu 😎🎧
account_circle
Latto 𝕏(@Rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Nimependa sana hii content 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila ulevi 🤣🤣🤣🙌🏽

Komasava 🤣🤣🤣🙌🏽

Video kwa Comments👇🏾👇🏾

Nimependa sana hii content 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila ulevi 🤣🤣🤣🙌🏽

Komasava 🤣🤣🤣🙌🏽

Video kwa Comments👇🏾👇🏾
account_circle
HUNTER(@Hunterjay12345) 's Twitter Profile Photo

COMMENT ÇAVA 🇫🇷

How are you? 🇬🇧
Unjani 🇿🇦
Como Vai 🇵🇹
Habari Gani 🇹🇿
Ni hao 🇨🇳
Assalam Alaykum 🇸🇦
Cómo estás amico 🇪🇸
Namaste 🇮🇳

KOMASAVA🔥

KOMASAVA 💥

Global song..💥💥

COMMENT ÇAVA 🇫🇷

How are you? 🇬🇧
Unjani 🇿🇦
Como Vai 🇵🇹
Habari Gani 🇹🇿
Ni hao 🇨🇳
Assalam Alaykum 🇸🇦
Cómo estás amico 🇪🇸
Namaste 🇮🇳

KOMASAVA🔥

                 KOMASAVA 💥

   Global song..💥💥
account_circle