Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Wote wawili wanatoka Senegal...... na hapa walikutana na kupiga mastory dakika chache kabla ya fainali.

Ni Kocha Msaidizi wa Azam FC, Youssouph Dabo (kushoto) na Kocha Msaidizi wa Yanga, Moussa Ndaw.

Bila shaka walikuwa wakijadili jambo kuhusu Sadio

#CRDBBankFederationCup  Wote wawili wanatoka Senegal...... na hapa walikutana na kupiga mastory dakika chache kabla ya fainali. 

Ni Kocha Msaidizi wa Azam FC, Youssouph Dabo (kushoto) na Kocha Msaidizi wa Yanga, Moussa Ndaw.

Bila shaka walikuwa wakijadili jambo kuhusu Sadio
account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

: Sikia namna mtangazaji wa soka Peter Otai alivyotangaza mikwaju ya penati za Azam FC dhidi ya Yanga SC, alivyosherehesha kwa ‘kimombo”

Ni mzee wa ‘byuti byuti’

LaCRDBBank

account_circle
Afrique Foot 🌍⚽(@PassionfootAF) 's Twitter Profile Photo

Félicitations à Young Africans SC🇹🇿, Vainqueur de la CRDB Bank Federation Cup, la Coupe de , 3 fois d'affilée. C'est la 7e de son histoire.
Ils ont battu leur dauphin en championnat, Azam FC🇹🇿 aux tirs au but. (0-0 TAB 5-6)

Félicitations à Young Africans SC🇹🇿, Vainqueur de la CRDB Bank Federation Cup, la Coupe de #Tanzanie, 3 fois d'affilée. C'est la 7e de son histoire.
Ils ont battu leur dauphin en championnat, Azam FC🇹🇿 aux tirs au but. (0-0 TAB 5-6)

#crdbbankfederationcup #YoungAfricans  #Yanga
account_circle
CRDB Bank PLC(@CRDBBankPlc) 's Twitter Profile Photo

Boli Kiushindani 👊

Mkurugenzi wetu Mkuu Abdulmajid Nsekela anazitakia timu zote mchezo mzuri wa fainali wa federationcup wenye ushindani wa hali ya juu🔥🔥



account_circle
Dominicksalamba(@Dominicksalamb1) 's Twitter Profile Photo

🗣️ “Tutafanya usajili mzuri, lengo ni kuitoa Yanga hapo ilipo na kufika mbali zaidi”

Rais wa Yanga SC, Hersi Said baada ya timu yake kutwaa taji la mbele ya Azam FC kwa mikwaju ya PENATI 5-6.

🗣️ “Tutafanya usajili mzuri, lengo ni kuitoa Yanga hapo ilipo na kufika mbali zaidi”

Rais wa Yanga SC, Hersi Said baada ya timu yake kutwaa taji la #CRDBBankFederationCup mbele ya Azam FC kwa mikwaju ya PENATI 5-6.
account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

: Uzuri wa Zanzibar na simulizi ya Peter Otai mtangazaji wa soka kwa lugha ya Kiingereza muda mchache kabla ya kuanza mechi ya jana ya fainalia ya kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.

Ni mzee wa ‘byuti byuti’

account_circle
Africa Soccer Zone(@AfricaSoccer_zn) 's Twitter Profile Photo

Young Africans SC crowned champions of the 2023/24 .

After a thrilling final, Yanga SC defeated Azam FC 6-5 in a penalty shootout, following a goalless draw (0-0) at full-time.

Congratulations to Yanga SC on their well-deserved win. 🔰

@YoungAfricansSC crowned champions of the 2023/24 #CRDBBankFederationCup.

After a thrilling final, Yanga SC defeated Azam FC 6-5 in a penalty shootout, following a goalless draw (0-0) at full-time. 

Congratulations to Yanga SC on their well-deserved win. 🔰
account_circle
Miguel Gamondi(@MiguelAGamondi) 's Twitter Profile Photo

Nos merecíamos todo esto que nos pasa y volver a alzar otra copa más, por tanto trabajo y para la alegría de los Wananchis🔰💪🏼🏆🏆.
🇦🇷 Cierro una temporada increíble, con mucha alegría y con la bandera de mi país en el cuerpo. 🇦🇷

Nos merecíamos todo esto que nos pasa y volver a alzar otra copa más, por tanto trabajo y para la alegría de los Wananchis🔰💪🏼🏆🏆. 
🇦🇷 Cierro una temporada increíble, con mucha alegría y con la bandera de mi país en el cuerpo. 🇦🇷  
 #CRDBBankFederationCup
account_circle
ibrahim kasuga(@ibrakasuga) 's Twitter Profile Photo

Mkataba wa Yanga SC na kocha Miguel Gamondi umemalizika jana usiku baada ya mchezo wa mwisho wa Fainali ya . Gamondi amesema anahitaji kupumzika lakini mazungumzo na Rais Hersi yatafanyaika kujua hatma yake.

Mkataba wa Yanga SC na kocha Miguel Gamondi umemalizika jana usiku baada ya mchezo wa mwisho wa Fainali ya #CRDBBankFederationCup. Gamondi amesema anahitaji kupumzika lakini mazungumzo na Rais Hersi yatafanyaika kujua hatma yake.
account_circle