Ipyana M.K.(@IpyanaJr07) 's Twitter Profile Photo

'Empowering the youth in Tanzania! Join us for the Virtual Dialogue on SADC Principles of Democratic Elections in partnership with Democracy Works Foundation.

Pease register 👇🏾 forms.gle/ppF5UXVEzYRxnR…

'Empowering the youth in Tanzania! Join us for the Virtual Dialogue on SADC Principles of Democratic Elections in partnership with @DemocracyWF.

Pease register 👇🏾 forms.gle/ppF5UXVEzYRxnR…

#Action4DGTz
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Elimu ya Uraia na Elimu ya Mpiga kura ni tiba sahihi katika kuongeza namba kwa vijana kushiriki mchakato mzima wa Uchaguzi. Vijana ni namba kubwa katika kushawishi maamuzi.



Elimu ya Uraia na Elimu ya Mpiga kura ni tiba sahihi katika kuongeza namba kwa vijana kushiriki mchakato mzima wa Uchaguzi. Vijana ni namba kubwa katika kushawishi maamuzi. 

#CharterProjectAfrica 
#KanuniZaSADC 
#Action4DGTz
account_circle
Nasser Mtengera(@Nas__Naa) 's Twitter Profile Photo

Elimu ya Uraia na Elimu ya Mpiga kura ni tiba sahihi katika kuongeza namba kwa vijana kushiriki mchakato mzima wa Uchaguzi. Vijana ni namba kubwa katika kushawishi maamuzi.



Elimu ya Uraia na Elimu ya Mpiga kura ni tiba sahihi katika kuongeza namba kwa vijana kushiriki mchakato mzima wa Uchaguzi. Vijana ni namba kubwa katika kushawishi maamuzi. 

#CharterProjectAfrica 
#KanuniZaSADC 
#Action4DGTz
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Willard Freedom quotes from Zambia during Vitual dialogue on “Regional Dialogue on the SADC Principles & Guidelines for Democratic Elections, A Space for young people…”

| |

Willard Freedom quotes from Zambia during Vitual dialogue on “Regional Dialogue on the SADC Principles & Guidelines for Democratic Elections, A Space for young people…”

#Action4DGTz | #KanuniZaSADC | #CharterProjectAfrica
account_circle
Nasser Mtengera(@Nas__Naa) 's Twitter Profile Photo

Mijadala hii ya mtandaoni inalengo ya kuwajengea vijana uwezo kujua kanuni na miongozo ya Jumuiya ya SADC katika kusimamia nakuteleleza Agenda za ya Demokrasia.

Hii inaenda sambamba kuleta tija kwa ushiriki wa vijana kwenye shughuli za Kidemokrasia

|

Mijadala hii ya mtandaoni inalengo ya kuwajengea vijana uwezo kujua kanuni na miongozo ya Jumuiya ya SADC katika kusimamia nakuteleleza Agenda za ya Demokrasia. 

Hii inaenda sambamba kuleta tija kwa ushiriki wa vijana kwenye shughuli za Kidemokrasia

#Action4DGTz | #KanuniZaSADC
account_circle
Action for Democratic Governance (A4DG).(@Action4DG) 's Twitter Profile Photo

Jambo..!

Karibu tena katika . Leo hapa Chumbani Tunaye Joseph Brighton Malekela tukidurusu juu ya Ushiriki wa Vijana kuelekea Chaguzi za Serikali za Mitaa.

Kutazama, tafadhali bofya link👇🏾👇🏾👇🏾

youtu.be/qif3FblCwMA?si…

Karibu🤗

|

account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

'These regulations were established to build societies with democracy, free and fair elections, and peaceful elections. These regulations help promote democracy and the prosperity of member countries.' ~ Suleiman Makwita

|

'These regulations were established to build societies with democracy, free and fair elections, and peaceful elections. These regulations help promote democracy and the prosperity of member countries.' ~ Suleiman Makwita

#Action4DGTz | #CharterProjectAfrica
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Kanuni za SADC zinalengo la kusaidia nchi wanachama kufanya chaguzi zinazozingatia haki, amani na weredi.

Lakini utekelezaji wake unachangamoto kadhaa. ~ Caliph Makwita



Kanuni za SADC zinalengo la kusaidia nchi wanachama kufanya chaguzi zinazozingatia haki, amani na weredi.

Lakini utekelezaji wake unachangamoto kadhaa. ~ @caliph_makwita 

#CharterProjectAfrica 
#KanuniZaSADC 
#Action4DGTz
account_circle
Nasser Mtengera(@Nas__Naa) 's Twitter Profile Photo

Mradi wetu unalenga kuwajengea uwezo vijana kujua ni wanawezaje kushiriki mchakato wa uchaguzi na sio kuchagua viongozi tu (kupiga kura). Na hii inaenda sambamba nakutoa uelewa kwa raia wote. ~ Caliph Makwita

|

Mradi wetu unalenga kuwajengea uwezo vijana kujua ni wanawezaje kushiriki mchakato wa uchaguzi na sio kuchagua viongozi tu (kupiga kura). Na hii inaenda sambamba nakutoa uelewa kwa raia wote. ~ @caliph_makwita 

#Action4DGTz |  #KanuniZaSADC
account_circle
Nasser Mtengera(@Nas__Naa) 's Twitter Profile Photo

Kuna changamoto kazaa katika utekelezaji wa kanuni za SADC, moja yapo ya kanuni hizi ni kupishana na Sheria na katiba ya nchi katika utekelezaji wake. Mfano Kanuni za SADC zinaruhusu kufanya petition baada ya uchaguzi ila sheria ya nchi hairuhusu.

| #

Kuna changamoto kazaa katika utekelezaji wa kanuni za SADC, moja yapo ya kanuni hizi ni kupishana na Sheria na katiba ya nchi katika utekelezaji wake. Mfano Kanuni za SADC zinaruhusu kufanya petition baada ya uchaguzi ila sheria ya nchi hairuhusu.

#Action4DGTz | ##KanuniZaSADC
account_circle
Action for Democratic Governance (A4DG).(@Action4DG) 's Twitter Profile Photo

Elimu ya mpiga kura inahitajika kuwa katika lugha inayooeleweka na kutegemea na mazingira, jamii zinatofautiana utashi wake hivyo elimu lazima izingatie mazingira husika ili isionekane hainatija. ~ Hilder Gasper



Elimu ya mpiga kura inahitajika kuwa katika lugha inayooeleweka na kutegemea na mazingira, jamii zinatofautiana utashi wake hivyo elimu lazima izingatie mazingira husika ili isionekane hainatija. ~ Hilder Gasper

#KanuniZaSADC 
#CharterProjectAfrica 
#Action4DGTz
account_circle
Action for Democratic Governance (A4DG).(@Action4DG) 's Twitter Profile Photo

Hii ni moja ya sababu ambayo A4DG kwa Kushirikiana na Democracy Works Foundation (DWF) kupitia tunajikita katika kutoa elimu juu ya Kanuni na Miongozo ya SADC ya Chaguzi za Kidemokrasia…!

|

Hii ni moja ya sababu ambayo A4DG kwa Kushirikiana na Democracy Works Foundation (DWF) kupitia #CharterProjectAfrica tunajikita katika kutoa elimu juu ya Kanuni na Miongozo ya SADC ya Chaguzi za Kidemokrasia…!

#Action4DGTz | #KanuniZaSADC
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Kuna changamoto kazaa katika utekelezaji wa kanuni za SADC, moja yapo ya kanuni hizi ni kupishana na Sheria na katiba ya nchi katika utekelezaji wake. Mfano Kanuni za SADC zinaruhusu kufanya petition baada ya uchaguzi ila sheria ya nchi hairuhusu.

|

Kuna changamoto kazaa katika utekelezaji wa kanuni za SADC, moja yapo ya kanuni hizi ni kupishana na Sheria na katiba ya nchi katika utekelezaji wake. Mfano Kanuni za SADC zinaruhusu kufanya petition baada ya uchaguzi ila sheria ya nchi hairuhusu.

#Action4DGTz | #KanuniZaSADC
account_circle
Mwaki(@Mwaki28) 's Twitter Profile Photo

'Empowering the youth in Tanzania! Join us for the Virtual Dialogue on SADC Principles of Democratic Elections in partnership with Democracy Works Foundation.

Pease register 👇🏾 forms.gle/ppF5UXVEzYRxnR…

'Empowering the youth in Tanzania! Join us for the Virtual Dialogue on SADC Principles of Democratic Elections in partnership with @DemocracyWF.

Pease register 👇🏾 forms.gle/ppF5UXVEzYRxnR…

#Action4DGTz
account_circle
Action for Democratic Governance (A4DG).(@Action4DG) 's Twitter Profile Photo

We’re now on…🔥

Our virtual dialogue on the SADC Principles & Guidelines for Democratic Elections, A Space for young people in Tanzania has started.

You can join us through👇🏾👇🏾👇🏾

meet.google.com/ter-ycbx-xnu?h…

| |

We’re now on…🔥

Our virtual dialogue on the SADC Principles & Guidelines for Democratic Elections, A Space for young people in Tanzania has started.

You can join us through👇🏾👇🏾👇🏾

meet.google.com/ter-ycbx-xnu?h…

#Action4DGTz | #KanuniZaSADC | #CharterProjectAfrica
account_circle