The Diplomat 🇹🇿
@_TheDiplomat
Charming
ID:458187624
08-01-2012 08:28:17
7,0K Tweets
5,3K Followers
2,2K Following
🔴 MATANGAZO MUBASHARA KUTOKA IKULU MAWASILlANO ikulu_Tanzania
YOUTUBE: https: youtube.com/live/GcuVgumjX…
INSTANGRAM: instagram.com/ikulu_mawasili…
FACEBOOK: facebook.com/share/v/Vzomf2…
TWITTER: x.com/ikulumawaslian…
WEBSITE:
ikulu.go.tz
📌 “Mimi binafsi, namshukuru Mungu kwa kuinasibisha historia ya maisha yangu na Muungano wetu. Pamoja na kuyaishi masuala ya Muungano kama raia wengine, nimebahatika pia kufanya kazi katika kuuimarisha Muungano;….” Samia Suluhu
📌 MUUNGANO UMETUWEZESHA KULINDA UHURUU
“Muungano umetuwezesha kulinda Uhuru wa Tanganyika na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, lakini pia kwa umoja wetu, na kupitia jeshi letu, tumeweza kulinda mipaka ya taifa letu.”
Samia Suluhu
📌 Falsafa ya 4R
Za Rais Samia Suluhu
• Reconcilation (Maridhiano)
• Resiliency (Ustahamilivu)
• Reforms (Mabadiliko)
• Rebuilding (Kujenga Upya)
Rais Samia Suluhu Hassan akimtunuku Mama Janeth Magufuli nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa niaba ya Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli.
#mamayukokazini
#mamaanafanikisha
📌 HAPPY KARUME DAY
“Huwezi kuwa mwana wa nchi kama huna uchungu na nchi yako”
Abeid Amani Karume
Dr Hussein Ali Mwinyi
Samia Suluhu
📌 “udhibiti hafifu wa mifumo ya ukusanyaji, utunzaji na utumiaji wa taarifa binafsi katika taasisi mbalimbali zinazokusanya na kutumia taarifa binafsi.
Katika kukabiliana na yote haya, ndio maana tupo hapa leo kuzindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi”. Rais Samia Suluhu