Radio 47
@Radio47KE
Stesheni inayovuma kwa kasi zaidi.... Na Bado! ☎️ +254793047047 or WhatsApp 📱+254719739487
ID:1561617605626060802
https://radio47.fm 22-08-2022 07:34:02
64,4K Tweets
18,0K Followers
64 Following
Good Morning Fam📷 we're live ndani ya Breakfast 47 show ukiwa na The Bigboyz of Radio #MwashumbeNaMwakideu kuanzia 6am-10am. Are you tuned?
#HapaNdipo
Wavuti: radio47.fm
Karribu katika Ebenezar Thursday ndani ya #Nuru47 ukiwa na Isaiah 54:2 Enlarge,stretch! Gen 1:18 fruitfulness. Unasikiliza ukiwa wapi?
#HapaNdipo
One man one shilling vote is very dangerous because it contradicts na kinyume cha canon of equity ambayo inasawazisha kila mtu- Dickson Maungu, Mbunge Luanda.
lizah mutuku
#KikaoChaHoja #HapaNdipo
Tunahitaji discipline katika expenditure- DKT.Kanyuithia Mutunga, mbunge Tigania West. #KikaoChaHoja #HapaNdipo
lizah mutuku
Shida ambayo tuko nayo hii nchi ni wrong priorities. Tuko na pesa mingi sana lakini jinsi ambavyo tunapanga matumizi ndiyo shida- Dickson Maungu, Mbunge Luanda.
lizah mutuku
#KikaoChaHoja #HapaNdipo
In every 10 shillings that we collect as a country in form of tax, shilingi7 inaenda kwa deni na 3 kwa matumizi-Timothy Kipchumba, mbunge Marakwet West
lizah mutuku
#KikaoChaHoja #HapaNdipo
Kaunti hazihitaji kuongezewa pesa- DKT.Kanyuithia Mutunga, mbunge Tigania West.
#KikaoChaHoja #HapaNdipo
lizah mutuku
Leo hii ndani ya #KikaoChaHoja tunazungumza na wabunge Dickson Maungu (Mbunge Luanda), DKT.Kanyuithia Mutunga (Tigania West) na Timothy Kipchumba (Marakwet West) kuhusu hali halisi ya taifa. #HapaNdipo
lizah mutuku
Hii si ya kusahau: 'In 2003, nilifanya deal ya kumtolea mtu 13 million kwa bank account akanilipa 1 million.'- Nick Odhiambo
Billy Miya Mbaruk Mwalimu
#BillyNaMbaruk #HapaNdipo
Mashemeji Luo and Luhya Festival is here🔥🔥ndani ya Rixxos Lobby Kitengela tarehe 25 May siku ya Jumamosi. Usipitwe!!!!
MASHEMEJI DELUXE PARTY
#HapaNdipo