Msichana Initiative(@MsichanaUwezo) 's Twitter Profileg
Msichana Initiative

@MsichanaUwezo

Kuwa sehemu ya mabadiliko kupitia kampeni yetu #PediBure #PediBilaKodi kupitia link hapo chini.

ID:4392254295

linkhttps://bit.ly/44M9lRW calendar_today06-12-2015 09:06:30

8,1K Tweets

13,6K Followers

132 Following

Follow People
Msichana Initiative(@MsichanaUwezo) 's Twitter Profile Photo

Karibu usome ripoti yetu ya robo ya kwanza ya mwaka 2024. Kusoma ripoti hii bonyeza link hapo chini👇🏻 msichana.or.tz/download/quart…

Karibu usome ripoti yetu ya robo ya kwanza ya mwaka 2024. Kusoma ripoti hii bonyeza link hapo chini👇🏻 msichana.or.tz/download/quart… #MIQuarter1Report
account_circle
Twaweza - ni sisi(@Twaweza_NiSisi) 's Twitter Profile Photo

'Licha ya uwepo wa Sera na muuongozo mzuri wa kuwarejesha shuleni wasichana waliopata ujauzito, bado utekelezaji wake unapitia changamoto nyingi. Ikiwa ni pamoja na changamoto za kitamaduni, kimfumo na uwekezeji usiojitosheleza,' - Dkt. John Kalage, Mkurugenzi, HakiElimu.…

'Licha ya uwepo wa Sera na muuongozo mzuri wa kuwarejesha shuleni wasichana waliopata ujauzito, bado utekelezaji wake unapitia changamoto nyingi. Ikiwa ni pamoja na changamoto za kitamaduni, kimfumo na uwekezeji usiojitosheleza,' - Dkt. John Kalage, Mkurugenzi, @HakiElimu.…
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

▪️ Fuatilia uzinduzi wa ripoti mbili za tafiti ambazo HakiElimu imezifanya ambazo zinaangalia ustawi wa Watoto wa Kitanzania.
▪️Bofya bit.ly/4djQoKw
▪️Meeting ID: 814 2707 4220
▪️Passcode: 598768

▪️ Fuatilia uzinduzi wa ripoti mbili za tafiti ambazo HakiElimu imezifanya ambazo zinaangalia ustawi wa Watoto wa Kitanzania. #UstawiWaWatoto ▪️Bofya bit.ly/4djQoKw ▪️Meeting ID: 814 2707 4220 ▪️Passcode: 598768
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Ni wito wetu kwa Serikali katika Bajeti ya Sekta ya elimu Mwaka wa Fedha 2024/25 kuwa na Mpango maalum na Bajeti ajili ya Uchapaji na Usambazaji wa Vitabu vya Kiada mashuleni kwani shule nyingi haswa za umma hazijapata nakala ngumu (hard copies) za Mtaala Mpya.

Ni wito wetu kwa Serikali katika Bajeti ya Sekta ya elimu Mwaka wa Fedha 2024/25 kuwa na Mpango maalum na Bajeti ajili ya Uchapaji na Usambazaji wa Vitabu vya Kiada mashuleni kwani shule nyingi haswa za umma hazijapata nakala ngumu (hard copies) za Mtaala Mpya. #ElimuKwanza
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

. Mtaala mpya umekuja na majukumu ya ziada kwa walimu wa ngazi zote, msingi na sekondari. Hili ni moja ya maeneo ambayo HakiElimu na wadau wa elimu wanatarajia bajeti ya sekta ya elimu Mwaka 2024-25 italipa kipaumbele.

. Mtaala mpya umekuja na majukumu ya ziada kwa walimu wa ngazi zote, msingi na sekondari. Hili ni moja ya maeneo ambayo @HakiElimu na wadau wa elimu wanatarajia bajeti ya sekta ya elimu Mwaka 2024-25 italipa kipaumbele. #ElimuKwanza
account_circle
winharder_(@winharder_) 's Twitter Profile Photo

HakiElimu inapendekeza serikali itenge bajeti ya kutosha ili kuwapatia walimu wengi zaidi mafunzo ya Mtaala mpya ili kuwezesha utekelezaji wa ufanisi.

@HakiElimu inapendekeza serikali itenge bajeti ya kutosha ili kuwapatia walimu wengi zaidi mafunzo ya Mtaala mpya ili kuwezesha utekelezaji wa ufanisi. #ElimuKwanza
account_circle
winharder_(@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Wakati serikali ikitarajia kuwasilisha Bungeni,Bajeti ya Sekta ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, HakiElimu inapendekeza kuwe na mafunzo maalumu kwa walimu wa Awali na Msingi.Mtaala mpya umekuja na majukumu ya ziada kwa walimu hivyo wanapaswa kujengewa uwezo.

Wakati serikali ikitarajia kuwasilisha Bungeni,Bajeti ya Sekta ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, @HakiElimu inapendekeza kuwe na mafunzo maalumu kwa walimu wa Awali na Msingi.Mtaala mpya umekuja na majukumu ya ziada kwa walimu hivyo wanapaswa kujengewa uwezo. #ElimuKwanza
account_circle
TheGuardianTzOnline(@TheGuardianTzO1) 's Twitter Profile Photo

HakiElimu has made five recommendations on effective budget for education sector in the financial year 2024/2025 for successful implementation of the new primary and secondary education curriculum...read more: shorter.me/cRQer

#News @HakiElimu has made five recommendations on effective budget for education sector in the financial year 2024/2025 for successful implementation of the new primary and secondary education curriculum...read more: shorter.me/cRQer #TheGuardianUpdates
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Bofya bit.ly/4d8igkC kufahamu Vipaumbele Vitano Vinavyopendekezwa na HakiElimu katika Upangaji na Utengaji wa Bajeti ya Sekta ya Elimu ya Mwaka wa Fedha 2024/25.

Bofya bit.ly/4d8igkC kufahamu Vipaumbele Vitano Vinavyopendekezwa na @HakiElimu katika Upangaji na Utengaji wa Bajeti ya Sekta ya Elimu ya Mwaka wa Fedha 2024/25.
account_circle