Mbali na winga Agee Basiala, pia Rais wa Yanga, Hersi Said kwa upande wa pili alikuwa na kazi ya kumtazama beki wa kushoto wa Lupopo, Chadrack Boka ambaye Yanga inataka aje kuchukua nafasi ya Lomalisa Mutambala. . Boka ambayeni beki mrefu anayejua kupandisha mashambulizi na…