Tumetingua Temple sasa!! Jiunge nasi upate experience Tosha na MBUSII DEH HSC na ENUFA LION AHOM Wimbo ni dj narty #MbusiiNaLionTekeTeke #ChapaWaxMonday #KituoChaWakenya
Mwanaume adai kuwa kuna hospitali Kakamega ambayo ukitibiwa unatumwa mwingine kuchukua dawa na hii inawalazimisha kulipia dawa Mara mbili. #MbusiiNaLionTekeTeke #ChapaWaxMonday #Nyahunyo #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C7MX1cRSe…
Mwanaume anadai kuwa alimuuzia rafiki yake redio lakini haukuwai mlipa. #MbusiiNaLionTekeTeke #ChapaWaxMonday #LipaDeni #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C7MQ7aMS6…
“Kevin anajifanya sana hajui, huku nje watu wanatafuta mabibi.” #MbusiiNaLionTekeTeke #ChapaWaxMonday #ToboaSiri #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C7MTc6Xy4…
The big three MBUSII DEH HSC ENUFA LION AHOM @dj_dickie_pacheko wamemuokalaiz kwenye Temple Ya Warasta 🔥🔥 #MbusiiNaLionTekeTeke #ZilizovumaThursday #KituoChaWakenya
Karibu kwenye Temple Ya Warasta upate experience Tosha na MBUSII DEH HSC na ENUFA LION AHOM hadi saa moja jioni! #MbusiiNaLionTekeTeke #RombosaFriday #KituoChaWakenya
The big three🔥wamefunga challenge #MbusiiNaLionTekeTeke #RombosaFriday #KituoChaWakenya
“Mwanaume adai kuwa landlord wake anawatesa kwa sababu choo kimejaa lakini hataki kujenga ingine “
#MbusiiNaLionTekeTeke #ChapaWaxMonday #Nyahunyo #KituoChaWakenya
Mwanaume adai kuwa alilala na mke wake kwa kitanda cha wazazi wake na anafikiri alipata laana kwa sababu ya tendo hilo. #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #ToboaSiri #KituoChaWakenya
Ikiwa Leo ni siku ya kupanda miti, Je wewe umepanda mti? #MbusiiNaLionTekeTeke #RombosaFriday #KituoChaWakenya
“Niliekewa bangi kwa mfuko na polisi ili apate hongo” #MbusiiNaLionTekeTeke #GyalDemWednesday #Nyahunyo #KituoChaWakenya
Karibu kwenye Temple Ya Warasta upate experience Tosha na MBUSII DEH HSC na ENUFA LION AHOM hadi saa moja jioni! #MbusiiNaLionTekeTeke #GyalDemWednesday #KituoChaWakenya
Mwanaume adai kuwa aliibiwa vifaranga wake na anajua aliyemuibia. #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #Nyahunyo #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C68903rog…
Karibu kwenye Temple ya Warasta na MBUSII DEH HSC na ENUFA LION AHOM upelekwe na mutaratara hadi saa moja jioni. #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #KituoChaWakenya
Mwanaume amtobolea mke wake wa kwanza Siri na kumwambia kuwa amepata mke mwingine na kwa hiyo hatamuoa. #MbusiiNaLionTekeTeke #GyalDemWednesday #ToboaSiri #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C6_fFzZIP…
“Nataka kupea night runners wote onyo, wajue kuwa nikipatana nao usiku nitawaua”
#MbusiiNaLionTekeTeke #ToboaSiri #ChapaWaxMonday #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C66WnqUoA…
“Nilikomboa shamba ili nipande mahindi lakini mwenye shamba akakataa baada ya kulipa na hajanirudishia pesa yangu”
#MbusiiNaLionTekeTeke #LipaDeni #ChapaWaxMonday #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C66P295o1…
“Kuna jirani amekuwa akiniibia nguo kwa ploti lakini anasema si yeye na ameonekana na cctv” #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #Nyahunyo #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C6q6w0nIH…
Kijana wa miaka 19 adai kuwa amewekwa na mama ambaye ana watoto huku wazazi wake wakidhani ameenda kazini. #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #ToboaSiri #KituoChaWakenya
instagram.com/reel/C6q4CGYoi…