Joh cabinet(@Joh_cabinet) 's Twitter Profile Photo

Kila goli 10M inamaana hakuna mfuko wa akiba kwaajili ya majanga kama hivi yakitokea twende sawa...acha inyeshw tuone panapovuja kwaiyo hapo ni ugali na mafuta, uji na mafuta jamaa kapoteza mifugo kama bata, kuku na nyumba ndo iyo inavunjika,

Kila goli 10M inamaana hakuna mfuko wa akiba kwaajili ya majanga kama hivi yakitokea  twende sawa...acha inyeshw tuone panapovuja kwaiyo hapo ni ugali na mafuta, uji na mafuta jamaa kapoteza mifugo kama bata, kuku na nyumba ndo iyo inavunjika,
account_circle
Mouhamed ka 🧡🦋(@Mouhamed17aout) 's Twitter Profile Photo

Allâhumma salli halâ Muhammad, wa halâ âli Muhammad kamâ sallayta halâ Ibrâhîma wa halâ âli Ibrâhîm. Innaka hamîdun, majîd. Allâhumma bârik halâ Muhammadin wa halâ âli Muhammad kamâ bârakta halâ Ibrâhîm wa halâ âli Ibrâhîm. Innaka hamîdun, majîd. .

Allâhumma salli halâ Muhammad, wa halâ âli Muhammad kamâ sallayta halâ Ibrâhîma wa halâ âli Ibrâhîm. Innaka hamîdun, majîd. Allâhumma bârik halâ Muhammadin wa halâ âli Muhammad kamâ bârakta halâ Ibrâhîm wa halâ âli Ibrâhîm. Innaka hamîdun, majîd. .
account_circle
Mfalme 👑🇹🇿(@ommyfitness) 's Twitter Profile Photo

Mwanamke kama anakupenda,

-Atakutii
-Atakujali
-Atakupikia
-Atakuombea
-Atakuheshimu
-Atalala na wewe
-Atakuwa mwaminifu
-Ataheshimu wazazi wako
-Atablock wanaume mitandaoni
-Atakuomba msamaha akikosea
-Ataficha mwili wake kwa wanaume wengine

account_circle
MetroBoomin(@polo_kimanii) 's Twitter Profile Photo

Mob justice huwa noma sana,unaezamua kusimama ujionee watu wakichoma mwizi alafu jamaa asimame akurukie akushike akuekee kisu kwa shingo aseme kama ni kukufa anakufa na mtu,unfortunately that mtu is you,he trys to negotiate with the class 2 drop out nduthi guys who happen to be…

account_circle