Maelezo News
@maelezonews
Ukurasa rasmi wa Serikali ya Tanzania kupitia Idara ya Habari -MAELEZO utakaokupatia habari za kila siku π /https://t.co/gRXoQiOE5E π
ID:1103569071847530497
http://www.maelezo.go.tz 07-03-2019 08:12:24
6,5K Tweets
26,6K Followers
34 Following
Follow People
Tamasha hili tunakusudia kuanza saa 11:00 jioni na kutakuwa na burudani hadi saa 3:00 usiku, ambapo washiriki wote watapata fursa ya kusikiliza hotuba ya kihistoria mubashara, atakayoitoa Rais Samia Suluhu kwa Watanzania kupitia televisheni.
Sherehe za kuadhimisha miaka 60 ya muungano kitaifa, zitafanyika katika uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam.
Katika sherehe za maadhimisho haya, mgeni rasmi atakuwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Msemaji Mkuu wa Serikali