Maelezo News
@maelezonews
Ukurasa rasmi wa Serikali ya Tanzania kupitia Idara ya Habari -MAELEZO utakaokupatia habari za kila siku π /https://t.co/gRXoQiOE5E π
ID:1103569071847530497
http://www.maelezo.go.tz 07-03-2019 08:12:24
6,5K Tweets
26,7K Followers
34 Following
Follow People
Tamasha hili tunakusudia kuanza saa 11:00 jioni na kutakuwa na burudani hadi saa 3:00 usiku, ambapo washiriki wote watapata fursa ya kusikiliza hotuba ya kihistoria mubashara, atakayoitoa Rais Samia Suluhu kwa Watanzania kupitia televisheni.