Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profileg
Maelezo News

@maelezonews

Ukurasa rasmi wa Serikali ya Tanzania kupitia Idara ya Habari -MAELEZO utakaokupatia habari za kila siku πŸ—“ /https://t.co/gRXoQiOE5E πŸ”—

ID:1103569071847530497

linkhttp://www.maelezo.go.tz calendar_today07-03-2019 08:12:24

6,5K Tweets

26,6K Followers

34 Following

Follow People
ikulu_Tanzania(@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi, Kenya ili kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo ili viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA.21 wa IDA

account_circle
ikulu_Tanzania(@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo ili viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA

account_circle
ikulu_Tanzania(@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amempokea rasmi Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia Mhe. Dkt. Hassan Sheikh Mohamud wakati alipowasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Aprili 2024.

account_circle
Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profile Photo

Tamasha hili tunakusudia kuanza saa 11:00 jioni na kutakuwa na burudani hadi saa 3:00 usiku, ambapo washiriki wote watapata fursa ya kusikiliza hotuba ya kihistoria mubashara, atakayoitoa Rais Samia Suluhu kwa Watanzania kupitia televisheni.

Tamasha hili tunakusudia kuanza saa 11:00 jioni na kutakuwa na burudani hadi saa 3:00 usiku, ambapo washiriki wote watapata fursa ya kusikiliza hotuba ya kihistoria mubashara, atakayoitoa Rais @SuluhuSamia kwa Watanzania kupitia televisheni.
account_circle
Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profile Photo

Katika tamasha la tarehe 25, Aprili, 2024, kutakuwa na burudani kabambe kutoka kwa wasanii wetu wakubwa nchini, akiwemo Diamond, Zuchu, Ali Kiba, Harmonize, pamoja na wasanii wengine wengi.

Katika tamasha la tarehe 25, Aprili, 2024, kutakuwa na burudani kabambe kutoka kwa wasanii wetu wakubwa nchini, akiwemo Diamond, Zuchu, Ali Kiba, Harmonize, pamoja na wasanii wengine wengi.
account_circle
Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 25, Aprili, 2024, katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe, wilaya ya Kinondoni, kutakuwa na tamasha kubwa la kihistoria la kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya muungano. Mgeni rasmi atakuwa Naibu Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko.

Tarehe 25, Aprili, 2024, katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe, wilaya ya Kinondoni, kutakuwa na tamasha kubwa la kihistoria la kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya muungano. Mgeni rasmi atakuwa Naibu Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko.
account_circle
Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wanatakiwa kuanza kufika mapema uwanja wa Uhuru, kuanzia saa 12:00 asubuhi, ifikapo saa moja tarehe 26, viongozi wataanza kuwasili katika uwanja wa uhuru, ambapo maadhimisho haya yatafanyika.

Wananchi wanatakiwa kuanza kufika mapema uwanja wa Uhuru, kuanzia saa 12:00 asubuhi, ifikapo saa moja tarehe 26, viongozi wataanza kuwasili katika uwanja wa uhuru, ambapo maadhimisho haya yatafanyika.
account_circle
Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profile Photo

Katika maadhimisho haya, kutakuwa na shughuli mbalimbali za gwaride la majeshi ya ulinzi na usalama, pamoja na burudani, kutoka kwa wasanii maarufu nchini, zitakazofanyika katika uwanja wa Uhuru.

Katika maadhimisho haya, kutakuwa na shughuli mbalimbali za gwaride la majeshi ya ulinzi na usalama, pamoja na burudani, kutoka kwa wasanii maarufu nchini, zitakazofanyika katika uwanja wa Uhuru.
account_circle
Maelezo News(@maelezonews) 's Twitter Profile Photo

Sherehe za kuadhimisha miaka 60 ya muungano kitaifa, zitafanyika katika uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam.

Katika sherehe za maadhimisho haya, mgeni rasmi atakuwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Msemaji Mkuu wa Serikali

Sherehe za kuadhimisha miaka 60 ya muungano kitaifa, zitafanyika katika uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam. Katika sherehe za maadhimisho haya, mgeni rasmi atakuwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. @TZMsemajiMkuu
account_circle
ikulu_Tanzania(@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere aliyoipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.

Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
account_circle