Kijana ya Pwani(@kijana_p) 's Twitter Profile Photo

Imagine tu uko na gari smooth kama hii,dem hakupi stress na una support team kubwa kama man city, imagine tu ๐Ÿค”
Call or WhatsApp 0713 338177 for unit specs and price
Runda Interior Secretary

Imagine tu uko na gari smooth kama hii,dem hakupi stress na una support team kubwa kama man city, imagine tu ๐Ÿค”
Call or WhatsApp 0713 338177 for unit specs and price
#flooding Runda Interior Secretary
account_circle
Goodluck(@StoryTeller1236) 's Twitter Profile Photo

Uyu kijana akienda city atakuwa moto wakuotea mbali walahi atafunga sana na atawatesa watu sana talent yake + uwezo wa kocha pep vitamuongezea ufanisi mkubwa sana

account_circle
Rastafarian culture(@Ireneigora) 's Twitter Profile Photo

AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA

Kijana huyu amepotea nyumbani tangu tarehe 16/04/2024 mpaka sasa hatujui alipo,mara ya mwisho aliaga anaenda Mlimani City

Tafadhali, kama ukimuona mahali au una taarifa yake,wasiliana na kaka yake JOEL MWAMLIMA namba +255766570450 au 'toa

AMEPOTEA   AMEPOTEA   AMEPOTEA 

Kijana huyu amepotea nyumbani tangu tarehe 16/04/2024 mpaka sasa hatujui alipo,mara ya mwisho aliaga anaenda Mlimani City 

Tafadhali, kama ukimuona mahali au una taarifa yake,wasiliana na kaka yake JOEL MWAMLIMA namba  +255766570450 au 'toa
account_circle
HUNTER(@Hunterjay12345) 's Twitter Profile Photo

Kobbie Mainoo amefunga magoli matano kwenye msimu huu wa ligi ulioisha..

Leo hii amefunga tena kwenye Fainali ya Manchester City na United..๐Ÿ’ฅ

Kijana mdogo mwenye umri wa miaka 19 anafanya mambo makubwa..๐Ÿ”ฅ๐Ÿ™Œ

Kobbie safari yake imeanza vizuri sana..๐Ÿ’ฅ

Kobbie Mainoo amefunga magoli matano kwenye msimu huu wa ligi ulioisha..

Leo hii amefunga tena kwenye Fainali ya Manchester City na United..๐Ÿ’ฅ

Kijana mdogo mwenye umri wa miaka 19 anafanya mambo makubwa..๐Ÿ”ฅ๐Ÿ™Œ

Kobbie safari yake imeanza vizuri sana..๐Ÿ’ฅ
account_circle
yungsorcerer(@yungpolaroid8) 's Twitter Profile Photo

kijana ambaye amemsababisha pep aanguke chini mara mbili , city vs inter & city vs spurs ๐Ÿฉต๐Ÿฉต๐Ÿ˜‚

kijana ambaye amemsababisha pep aanguke chini mara mbili  , city vs inter & city vs spurs ๐Ÿฉต๐Ÿฉต๐Ÿ˜‚
account_circle
COSMASI MBABA(@CosmasiMbaba__) 's Twitter Profile Photo

Sema kule kwa Fabrizio Romano kila taarifa ya mchezaji mchanga wanahusishwa Man City hii ni dalili kuwa Man City imekuwa klabu ya ndoto ya kila kijana๐Ÿ˜‚

Sema kule kwa Fabrizio Romano kila taarifa ya mchezaji mchanga wanahusishwa Man City  hii ni dalili kuwa Man City imekuwa klabu ya ndoto ya kila kijana๐Ÿ˜‚
account_circle
ZEE LA VYETI FEKI๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@Isha59492557) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ‘‰Kijana anarudi Wembley kikobonda ndani ya fainal ya UEFA 2023/2024
๐Ÿ‘‰Tan Hag nae atakwenda Wembley dhidi ya Man City ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ‘‰Tan Hag alituaminisha kua Antony ni Bora kuliko Sancho , Fred ni Bora kuliko Amrabat .

๐Ÿ‘‰Kijana anarudi Wembley kikobonda ndani ya fainal ya UEFA 2023/2024 
๐Ÿ‘‰Tan Hag nae atakwenda Wembley dhidi ya Man City ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ‘‰Tan Hag alituaminisha kua Antony ni Bora kuliko Sancho , Fred ni Bora kuliko Amrabat .
account_circle
Kijana ya Hร zร rd๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช(@Apostle_Kjna) 's Twitter Profile Photo

We beat Man Utd home and away
We beat Chelsea 5-0
We beat Liverpool 3-1
We took 4 points from City
We beat Sheffield 6-0
We beat West Ham 6-0

They are still finishing the season trophyless ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Let's see how today goes

We beat Man Utd home and away
We beat Chelsea 5-0 
We beat Liverpool 3-1
We took 4 points from City
We beat Sheffield 6-0 
We beat West Ham 6-0 

They are still finishing the season trophyless ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Let's see how today goes
account_circle
edgar kibwana(@KibwanaEdgar) 's Twitter Profile Photo

Sijui kesho OLD TRAFFORD itakuwaje ila City anakaribia kumaliza KUTWA mara 3....๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Phil Foden apewe mpaka tuzo ya mchezaji BORA wa msimu (2023/24) mana TUZO ya mchezaji bora kijana sioni wa kumzuia.

Tayari Foden ana tuzo ya mchezaji BORA wa waandishi wa Habari msimu huu.

Sijui kesho OLD TRAFFORD itakuwaje ila City anakaribia kumaliza KUTWA mara 3....๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Phil Foden apewe mpaka tuzo ya mchezaji BORA wa msimu (2023/24)  mana TUZO ya mchezaji bora kijana sioni wa kumzuia.

Tayari Foden ana tuzo ya mchezaji BORA wa waandishi wa Habari  msimu huu.
account_circle
MMAREKANI MWEUSI ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ(@davitheempire) 's Twitter Profile Photo

Enzo Maresca new coch wa (CHEALSEA) ni Kijana wa PEP

Mijael Arteta coch wa (ARSENAL) ni kijana Wa PEP

Ten Hag coch wa (MAN UNITED) ni kijana wa PEP

Sikuizi ili uwe coch lazima upite Kwenye mikono ya MAN CITY Head coch Dunia inaenda kas

Enzo Maresca new coch wa (CHEALSEA) ni Kijana wa PEP

Mijael Arteta coch wa (ARSENAL) ni kijana Wa PEP

Ten Hag coch wa (MAN UNITED) ni kijana wa PEP

Sikuizi ili uwe coch lazima upite Kwenye mikono ya MAN CITY Head coch Dunia inaenda kas
account_circle
Boniface Jacob(@ExMayorUbungo) 's Twitter Profile Photo

AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA

Kijana huyu amepotea nyumbani tangu tarehe 16/04/2024 mpaka sasa hatujui alipo,mara ya mwisho aliaga anaenda Mlimani City

Tafadhali, kama ukimuona mahali au una taarifa yake,wasiliana na kaka yake JOEL MWAMLIMA namba +255766570450 au 'toa

AMEPOTEA   AMEPOTEA   AMEPOTEA 

Kijana huyu amepotea nyumbani tangu tarehe 16/04/2024 mpaka sasa hatujui alipo,mara ya mwisho aliaga anaenda Mlimani City 

Tafadhali, kama ukimuona mahali au una taarifa yake,wasiliana na kaka yake JOEL MWAMLIMA namba  +255766570450 au 'toa
account_circle