Aidan Eyakuze(@aeyakuze) 's Twitter Profileg
Aidan Eyakuze

@aeyakuze

Tutu Fellow (@TutuFellows) at @Twaweza_NiSisi | Co-Chair 2022 @opengovpart | @Data4SDGs, a data junkie & seeker of wisdom.☝️

ID:257912371

linkhttp://www.twaweza.org calendar_today26-02-2011 15:18:33

34,9K Tweets

35,1K Followers

1,6K Following

Follow People
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Hakukuwa na tofauti katika ufuatiliaji kwa wazazi wote bila kujali hali yao ya kijamii na kiuchumi. Walimu walisema kwamba ushiriki wa wazazi kwa shule za sekondari ni mdogo ikilinganishwa na ushiriki kwa shule za awali na msingi.

Hakukuwa na tofauti katika ufuatiliaji kwa wazazi wote bila kujali hali yao ya kijamii na kiuchumi. Walimu walisema kwamba ushiriki wa wazazi kwa shule za sekondari ni mdogo ikilinganishwa na ushiriki kwa shule za awali na msingi. #ElimuUswazi
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Shule nyingi ziliripoti zimewahi kutembelewa na Wathibiti ubora wa shule mara moja tu kwa mwaka (44.8%) au mara mbili kwa mwaka (29.9%). Takriban 14.9% ya shule, ziliripoti kuwa hazijawahi kutembelewa na Wathibiti ubora wa shule

Shule nyingi ziliripoti zimewahi kutembelewa na Wathibiti ubora wa shule mara moja tu kwa mwaka (44.8%) au mara mbili kwa mwaka (29.9%). Takriban 14.9% ya shule, ziliripoti kuwa hazijawahi kutembelewa na Wathibiti ubora wa shule #ElimuUswazi
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Wanafunzi wa elimu ya awali walipata msaada mkubwa toka kwa wazazi, lakini wa sekondari walipata msaada mdogo. Wazazi wengi hawakushiriki shughuli za shule wala mikutano ya walimu.

Wanafunzi wa elimu ya awali walipata msaada mkubwa toka kwa wazazi, lakini wa sekondari walipata msaada mdogo. Wazazi wengi hawakushiriki shughuli za shule wala mikutano ya walimu. #ElimuUswazi
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Ni jambo la kupongezwa kwamba walimu wengi, wa jinsia zote, wana sifa za kutosha za kitaaluma, utafiti unaonesha bado juhudi kubwa zinahitajika kupata walimu wenye sifa kwa ajili ya elimu maalum

Ni jambo la kupongezwa kwamba walimu wengi, wa jinsia zote, wana sifa za kutosha za kitaaluma, utafiti unaonesha bado juhudi kubwa zinahitajika kupata walimu wenye sifa kwa ajili ya elimu maalum #ElimuUswazi
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Utafiti ulibaini kuwa shule 6 kati ya 10 zilikuwa zimeweka mazingira rafiki na huduma kwa wanafunzi wenye ulemavu. Shule ambazo ziliripoti kuwa hazina huduma kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum zilikuwa na vifaa duni vya kuhudumia watoto wenye mahitaji maalum

Utafiti ulibaini kuwa shule 6 kati ya 10 zilikuwa zimeweka mazingira rafiki na huduma kwa wanafunzi wenye ulemavu. Shule ambazo ziliripoti kuwa hazina huduma kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum zilikuwa na vifaa duni vya kuhudumia watoto wenye mahitaji maalum #ElimuUswazi
account_circle
HakiElimu(@HakiElimu) 's Twitter Profile Photo

Inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2050, asilimia 55 ya watu Tanzania watakuwa mijini, huku Dar Es Salaam ikiongoza kwa ongezeko la watu mijini baraka Afrika, hivyo mipango madhubuti inahitajika - Francis Kiroro kutoka APHRC

Inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2050, asilimia 55 ya watu Tanzania watakuwa mijini, huku Dar Es Salaam ikiongoza kwa ongezeko la watu mijini baraka Afrika, hivyo mipango madhubuti inahitajika - Francis Kiroro kutoka @aphrc #ElimuUswazi
account_circle
Planning Commission_Tanzania(@Planning_Tz) 's Twitter Profile Photo

Jinsi ya kutoa Maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa kutumia simu yako ...

Piga *152*00#
Bonyeza Namba 8 (Elimu)
|Bonyeza Namba 4 (Dira 2050)
Kisha toa Maoni.

Jinsi ya kutoa Maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa kutumia simu yako ... Piga *152*00# Bonyeza Namba 8 (Elimu) |Bonyeza Namba 4 (Dira 2050) Kisha toa Maoni.
account_circle
Aidan Eyakuze(@aeyakuze) 's Twitter Profile Photo

The latest open budget survey is out. On the transparency front, Tanzania improved its score to 41 out of 100, a significant increase from previous scores of 10 in 2017, 17 in 2019, and 21 in 2021. thechanzo.com/2024/05/30/tan…

account_circle
Twaweza - ni sisi(@Twaweza_NiSisi) 's Twitter Profile Photo

'Wananchi wanaposhirikishwa katika kufanya maamuzi wanaweza kutoa suluhisho za changamoto zinazowakabili kwani wao ndio wanaozifahamu changamoto zao na vipaumbele kuliko mtu mwingine' - richard lucas



x.com/i/spaces/1kvJp…

account_circle
Nanjira(@NiNanjira) 's Twitter Profile Photo

I'd like to see the Maisha Namba Data Protection Impact Assessment that follows these OFFICE OF THE DATA PROTECTION COMMISSIONER guidelines...
Ditto NTSA KENYA's with biometrics for smart DLs...

Whose mandate is it to require the govt to publish its DPIAs?

odpc.go.ke/wp-content/upl…

account_circle
Open Gov Partnership(@opengovpart) 's Twitter Profile Photo

To fix this, the Brazilian government committed to applying principles to infrastructure projects, focusing on improving the public procurement portal and disclosing information on all federal infrastructure projects.

Learn more at bit.ly/open-gov-chall…

account_circle
Open Gov Partnership(@opengovpart) 's Twitter Profile Photo

In Brazil 🇧🇷, there is a lack of transparency in the public procurement of federal infrastructure projects due to data fragmentation across different agencies. 👇

account_circle
Open Gov Partnership(@opengovpart) 's Twitter Profile Photo

🇨🇷 In Costa Rica, the court system is dedicated to helping citizens understand their rights and access judicial services. Discover how they’re raising awareness through a pilot program that promotes principles.

bit.ly/open-gov-chall…

account_circle
Blair Glencorse(@blairglencorse) 's Twitter Profile Photo

City of Austin Voice2Rep Zimbabwe @Voice2Rep Integrity Icon #HackCorruption 5/ We have to leverage frameworks like Open Gov Partnership that can translate international commitments into national progress- w/ over 5,000 commitments over the past 12 years remains critical! is central- eg engages citizens in ID'ing priorities.

account_circle