Ms_Genya(@ScholaDecaprado) 's Twitter Profileg
Ms_Genya

@ScholaDecaprado

Industrial Relations Expert |

I Can't Compete with Your Mother and I Won't |

#SOSDiplomats |

SDG Champion, goal # 8 Decent Work and Economic Growth ✊ |

ID:1456188206

calendar_today25-05-2013 06:41:20

218,3K Tweets

14,6K Followers

529 Following

Follow People
Handsome La Kijiji(@ManenoIzaak) 's Twitter Profile Photo

Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii na Waziri Mhe Angellah Kairuki

Hii ni baada wizara hii ya kuandaa maonyeho yenye Ubunifu kwa ajili ya kutangaza vivutio vya kitalii nchini vyenye lengo la kuelelimisha Watanzania hasa wabunge kwenye ⤵️..

Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza @MNRT_Tanzania na Waziri Mhe @AngellahKairuki Hii ni baada wizara hii ya kuandaa maonyeho yenye Ubunifu kwa ajili ya kutangaza vivutio vya kitalii nchini vyenye lengo la kuelelimisha Watanzania hasa wabunge kwenye ⤵️..
account_circle
Moyo wa TAIFA ™️(@bajabiri) 's Twitter Profile Photo

Ni kwamba itakayoanza kesho itakuwa na bidhaa nyingi sana kuliko Ile ya 2023.

Jinsi ya kufika kwenye Yard sale Fata hii Google Map
maps.app.goo.gl/NPUz1zjvW3J8gJ…

Ni kwamba #JustFitYardSale itakayoanza kesho itakuwa na bidhaa nyingi sana kuliko Ile ya 2023. Jinsi ya kufika kwenye Yard sale Fata hii Google Map maps.app.goo.gl/NPUz1zjvW3J8gJ…
account_circle
Togolani Mavura(@tonytogolani) 's Twitter Profile Photo

Nimempokea Mheshimiwa January Makamba, Waziri wa MFA Tanzania jijini Seoul leo. Mheshimiwa Waziri atakuwa sehemu ya ujumbe wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kwenye ziara ya kikazi anayotarajia kuifanya nchini Korea Kusini kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Yoon Suk yeol wa Jamhuri ya Korea.

Nimempokea Mheshimiwa @JMakamba, Waziri wa @mfa_tanzania jijini Seoul leo. Mheshimiwa Waziri atakuwa sehemu ya ujumbe wa Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kwenye ziara ya kikazi anayotarajia kuifanya nchini Korea Kusini kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Yoon Suk yeol wa Jamhuri ya Korea.
account_circle
Julieth Sebba Bilakwate, MD(@JuliethSebbaMD) 's Twitter Profile Photo

Wiki hii katika Doctor Rafiki podacst tunaongelea lishe kwa wagonjwa wa kisukari. Karibu tujifunze pamoja kupitia link:
open.spotify.com/episode/7EwaWN…

Unaweza pia kusikiliza podcast ya Doctor Rafiki kupiti app ya au .

Wiki hii katika Doctor Rafiki podacst tunaongelea lishe kwa wagonjwa wa kisukari. Karibu tujifunze pamoja kupitia link: open.spotify.com/episode/7EwaWN… Unaweza pia kusikiliza podcast ya Doctor Rafiki kupiti app ya #Spotify au #Applepodcast. #DoctorRafiki
account_circle
Moyo wa TAIFA ™️(@bajabiri) 's Twitter Profile Photo

Kesho ndio KESHO.

Yaani kesho Mei 31 ndo Tunakata UTEPE wa ......

Kesho usichoke nakusihi kama upo Dar fika Masaki opp na Agakhan Clinic.

Hii hutokea Once a year.

?

Kesho ndio KESHO. Yaani kesho Mei 31 ndo Tunakata UTEPE wa #JustFitYardSale...... Kesho usichoke nakusihi kama upo Dar fika #MakaiRd Masaki opp na Agakhan Clinic. Hii hutokea Once a year. #Unakosaje?
account_circle
NMB Bank Plc(@NMBTanzania) 's Twitter Profile Photo

Vipi mkeka wa eneo lako umesoma au bado hujauona?

Ijumaa hii katika sehemu tajwa, cha kubeba ni NMB mastercard na simu yako tu.
 

Vipi mkeka wa eneo lako umesoma au bado hujauona? Ijumaa hii katika sehemu tajwa, cha kubeba ni NMB mastercard na simu yako tu.   #NMBFriyay #NMBKaribuYako
account_circle
RKM©(@mrmushico) 's Twitter Profile Photo

Wakuu msaada tutani naomba Yako moja Kijana wako nipate mteja kwenye TL yako.

Ninazo mbao ngumu

Mtiki Super
Size 2*8*9 tsh 65,000
Size 2*6*9 tsh 50,000

Mninga super
2*8*9 tsh 95,000
2*6*9 tsh 75,000

WhatsApp 0689001102

Wakuu msaada tutani naomba #repost Yako moja Kijana wako nipate mteja kwenye TL yako. Ninazo mbao ngumu #HardWood Mtiki Super Size 2*8*9 tsh 65,000 Size 2*6*9 tsh 50,000 Mninga super 2*8*9 tsh 95,000 2*6*9 tsh 75,000 WhatsApp 0689001102
account_circle
Media for Development and Advocacy.(@MedeaTanzania) 's Twitter Profile Photo

To ensure inclusivity and actively contribution we embrace participatory methods so as to create more equitable, effective and sustainable outcomes.
Making sure every voice is heard,valued and everyone has a seat at the table.

To ensure inclusivity and actively contribution we embrace participatory methods so as to create more equitable, effective and sustainable outcomes. Making sure every voice is heard,valued and everyone has a seat at the table.
account_circle
TAWLA(@TawlaTZ) 's Twitter Profile Photo

TAWLA kupitia Mkuu wetu wa Programu, Wakili Mary Richard na kiongozi wa dawati la mawasiliano, itembaD tumepata fursa ya kukutana na Mkurugenzi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi , Mh. Emmanuel Mkilia na msaidizi wake ndugu Vicent Mirumbe mapema mchana wa leo .

Katika mkutano huo, tumeweza

@TawlaTZ kupitia Mkuu wetu wa Programu, Wakili Mary Richard na kiongozi wa dawati la mawasiliano, @d_itemba tumepata fursa ya kukutana na Mkurugenzi wa @pdpc_tz , Mh. Emmanuel Mkilia na msaidizi wake ndugu Vicent Mirumbe mapema mchana wa leo . Katika mkutano huo, tumeweza
account_circle
minah🌹(@queeen_minah) 's Twitter Profile Photo

Wateja wangu wapendwa🥹hatakama ni saa 9 usiku best believe nitakuja kufanya kazi🔥Msakatonge sinaga closing hours…if im not booked i will come anytime bcz i love y’all like that🥰🙏🏽

For makeup booking
Call/ Whatsapp 📲 0676335537
📍Mikocheni

Wateja wangu wapendwa🥹hatakama ni saa 9 usiku best believe nitakuja kufanya kazi🔥Msakatonge sinaga closing hours…if im not booked i will come anytime bcz i love y’all like that🥰🙏🏽 For makeup booking Call/ Whatsapp 📲 0676335537 📍Mikocheni #glammedbyqueeenminah
account_circle