Gift Kimaro(@GiftKimaro7) 's Twitter Profileg
Gift Kimaro

@GiftKimaro7

Accountant| Entrepreneur|SocialMediaInfluencer| Yangasc ~|Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu ๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช

ID:929275584227799040

calendar_today11-11-2017 09:12:19

26,4K Tweets

7,1K Followers

2,4K Following

Follow People
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐Œ๐€๐Œ๐€ ๐š๐ฆ๐ž๐ข๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐š ๐ง๐œ๐ก๐ข!

Ongezeko la watalii nchini ni;-

โžกAjira zaidi kwa vijana wetu
โžกKukua kwa hifadhi ya fedha za kigeni
โžกKukua kwa biashara za wajasiriamali wetu.

๐Œ๐€๐Œ๐€ ๐š๐ฆ๐ž๐ข๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐š ๐ง๐œ๐ก๐ข! Ongezeko la watalii nchini ni;- โžกAjira zaidi kwa vijana wetu โžกKukua kwa hifadhi ya fedha za kigeni โžกKukua kwa biashara za wajasiriamali wetu. #MamaYukoKazini
account_circle
winharder_(@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Je, unahitaji mkopo wa haraka na haufahamu ni wapi utapata? Acha kuwasumbua marafiki we wacheki tu Soft Finance . Wanatoa mkopo kuanzia laki tano ndani ya dk 45 tu.

Huku hakuna longo longo, mkopo wao ni wa uhakika.

Je, unahitaji mkopo wa haraka na haufahamu ni wapi utapata? Acha kuwasumbua marafiki we wacheki tu @softfinancetz . Wanatoa mkopo kuanzia laki tano ndani ya dk 45 tu. Huku #SoftFinance hakuna longo longo, mkopo wao ni wa uhakika. #MpangoPesa
account_circle
#ElimikaWikiendi(@ElimikaWikiendi) 's Twitter Profile Photo

Tunakushukuru kwa upendo usiokoma, na kwa kila tabasamu linaloendelea kutupa nguvu ya kusonga mbele!

Heri ya Siku ya MAMA Duniani!

Nani kama mama?

| .

Tunakushukuru kwa upendo usiokoma, na kwa kila tabasamu linaloendelea kutupa nguvu ya kusonga mbele! Heri ya Siku ya MAMA Duniani! Nani kama mama? #MothersDay | #ElimikaWikiendi.
account_circle
Holy(@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

'Serikali itaendelea kutoa kipaumbele kwa kuboresha afya ya wanawake na watoto ili kupunguza vifo ili kuchochea uchumi jumuishi'

'Serikali itaendelea kutoa kipaumbele kwa kuboresha afya ya wanawake na watoto ili kupunguza vifo ili kuchochea uchumi jumuishi' #MamaYukoKazini
account_circle
Mwaki(@Officialsam28) 's Twitter Profile Photo

Je Wajua

Ni vigumu kunitofautisha na Mwanamziki anayeitwa Patoraking kutokea Nigeria, kutokana na Mwanamziki huyo kufanana na mimi kwa asilimia 99.9.

Watu wengi waananiita Patoraking wa Mbeya, nashindwa kusafiri kutokana na mshangao abiria wakisema niwaimbie๐Ÿ˜ƒ

Je Wajua Ni vigumu kunitofautisha na Mwanamziki anayeitwa Patoraking kutokea Nigeria, kutokana na Mwanamziki huyo kufanana na mimi kwa asilimia 99.9. Watu wengi waananiita Patoraking wa Mbeya, nashindwa kusafiri kutokana na mshangao abiria wakisema niwaimbie๐Ÿ˜ƒ #ElimikaWikiendi
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐Œ๐–๐€๐๐™๐€ ๐Š๐”๐‚๐‡๐„๐‹๐„!

Wananchi 450,000 wameondokana na shida ya maji iliyodumu kwa muda mrefu.

Mama akiahidi, anatimiza.

๐Œ๐–๐€๐๐™๐€ ๐Š๐”๐‚๐‡๐„๐‹๐„! Wananchi 450,000 wameondokana na shida ya maji iliyodumu kwa muda mrefu. Mama akiahidi, anatimiza. #MamaYukoKazini
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐€๐…๐˜๐€ ๐ง๐ข ๐ฃ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐ฅ๐š ๐Œ๐€๐Œ๐€

Rufaa za Dar es Salaam kwa ajili ya CT-Scan sasa basi!

Mama amekusogezea huduma karibu nawe.

๐€๐…๐˜๐€ ๐ง๐ข ๐ฃ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐ฅ๐š ๐Œ๐€๐Œ๐€ Rufaa za Dar es Salaam kwa ajili ya CT-Scan sasa basi! Mama amekusogezea huduma karibu nawe. #MamaYukoKazini
account_circle
Gift Kimaro(@GiftKimaro7) 's Twitter Profile Photo

Moja ya mafanikio makubwa serikali imefanya ni pamoja na kusogeza vituo vya afya karibu na wananchi huu ni mwonekano wa kituo cha afya Buza.

Serikali inahakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya karibu na makazi yao.

Moja ya mafanikio makubwa serikali imefanya ni pamoja na kusogeza vituo vya afya karibu na wananchi huu ni mwonekano wa kituo cha afya Buza. Serikali inahakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya karibu na makazi yao. #MamaYukoKazini
account_circle
Gift Kimaro(@GiftKimaro7) 's Twitter Profile Photo

Mradi wa Maji wa Miji 28 Kilwa kumaliza adha ya maji kwa wananchi.

Utekelezaji wa mradi huo unaendelea na ukikamilika utanufaisha zaidi ya wakazi elfu 60 wa Kilwa Masoko na Kilwa Kivinje, na vijiji vitano vya Singino, Nangurukuru, Lingaula, Nchakama na Mavuji.

Mradi wa Maji wa Miji 28 Kilwa kumaliza adha ya maji kwa wananchi. Utekelezaji wa mradi huo unaendelea na ukikamilika utanufaisha zaidi ya wakazi elfu 60 wa Kilwa Masoko na Kilwa Kivinje, na vijiji vitano vya Singino, Nangurukuru, Lingaula, Nchakama na Mavuji. #MamaYukoKazini
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐Œ๐š๐ฃ๐ข ๐ง๐ข ๐ฃ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐ฅ๐š ๐Œ๐€๐Œ๐€

Kila Mwananchi atafikiwa, maji kila kona, kijiji kwa kijiji, mtaa kwa mtaa.

account_circle
Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds)(@Ashrafkilande) 's Twitter Profile Photo

Jambo bora unaweza kufanya ni kuwa mpole. Jambo la uhakika kabisa, mtoto hawezi kulia masaa 24(Siku Nzima). Na hiko kipindi cha mtoto kulia kitapita vile vile. Jukumu lako kwenye hizo nyakati ni kuhakikisha mtoto anakuwa salama kadri uwezevyo.

account_circle
Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds)(@Ashrafkilande) 's Twitter Profile Photo

Wakati mwingine unajaribu kila njia lakini mtoto bado anapiga kelele. Kwa taarifa yako hio ni kawaida pia kwa watoto. Usikate Tamaa na Mtoto. Usiwe na wasiwasi hata kidogo.

account_circle
Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds)(@Ashrafkilande) 's Twitter Profile Photo

Je, ikiwa mtoto wangu hataacha kulia?

Usiwe na wasiwasi.

Kuna mambo mengi unaweza kujaribu ili kumnyamazisha na kumtuliza kwa kutumia miguso (Kumbato, na kadhalika) na sauti (Nyimbo, Mazungumzo ya ucheshi na kadhalika).

account_circle
Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds)(@Ashrafkilande) 's Twitter Profile Photo

Kumbuka:

Ni muhimu kuwa mvumilivu na mtoto wako na kujaribu kutambua ni nini kinachomsababisha alie. Unaweza pia kuzungumza na daktari wa mtoto aliyekaribu yako au mtaalamu mwengine yeyote wa afya kwa maswali yoyote au kuondoa wasiwasi ulionao.

account_circle
Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds)(@Ashrafkilande) 's Twitter Profile Photo

Maumivu:

Ikiwa mtoto wako analia kwa sauti kubwa au kwa muda mrefu, au ikiwa analia pamoja na dalili zingine kama vile homa, kutapika, au kuhara, inaweza kuwa ishara ya tatizo la kiafya. Wasiliana na daktari wa mtoto wako ikiwa una wasiwasi wowote.

account_circle
Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds)(@Ashrafkilande) 's Twitter Profile Photo

Kipindi cha baridi jitahidi kumvisha mtoto nguo nzito kiasi ili kupunguza athari za baridi. Pia jitahidi kumlaza mtoto sehemu ambayo haina joto jingi.

account_circle