MR BEN
@Eric__Bernard
Proud To Be Tanzanian,
TANZANIA KWANZA,
Retweets Are Not Endorsements,
Mjuzi wa Mawasiliano ya kimkakati, Mwananchi na Mporipori.
ID:2877409326
25-10-2014 23:15:37
266,4K Tweet
439,0K Takipçi
5,1K Takip Edilen
Follow People
Asante sana Mhe Waziri CS Nakhumicha S. Wafula kwa makaribisho mazuri na mazungumzo mazuri #SisiNiNdugu #TupoPamoja
Ni SIKU 2 tu zimesalia kabla bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilishwa bungeni na Mhe. Waziri Angellah Kairuki
Hii sio ya kukosa.
Sasa unaweza kuagiza Printer yako kwa matumizi ya Ofisini ama Nyumbani kwa bei poa.
Printer za 3 in 1 - PRINT - SCAN - PHOTOCOPY.
Zina Support pia na Wi-Fi✅
Za ku Re-Fill wino ukiisha✅
Tshs. 350,650/=
Agiza na Gadgetboxtz kwa unafuu hali ya juu!
NGO inayohitaji huduma ya kusafirishiwa mizigo (iwe documents, machapisho,banners,Stationaries, Kompyuta n.k) wanakaribishwa BajabirLogistics.
Ofisi zipo Kinondoni kwa Pinda, Dar es Salaam.
Kampuni inayohitaji kusafirishiwa mizigo yake na BajabirLogistics ...kutokea Dar es Salaam kwenda mkoa au wilaya yeyote Tanzania.
📞 0672808100.
Mijadala ya kisiasa huwa na tija saana kwa mustakabali wa nchi na wananchi wake, Jun 5 SiasaZetu ni platform inayowakutanisha wanasiasa,na wananchi kwa pamoja ili kupata nafasi ya kujadili siasa za nchi yao hakikisha Hukosi hapa 👇
#SiasaZetu #SiasaNiMaendeleo #SiasaNiWananchi
#WHA77 - Panel on Scaling up integrated models of care to address maternal and child mortality - side event organised by the African Union Commission Save the Children International and Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation . I shared Tanzania's success stories and challenges in reducing maternal and child mortality. Tanzania
A well attended side event organised by Tanzania Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 on Strengthening Primary Health Care through implementation of the Intergrated and Coordinated Community Health Workers Program in Tanzania at the #WHA77 . We thank all partners for their commitment and support on the
Leo Mei 29, 2024 mkoani mwetu Singida tuna ugeni mzito wa kichama wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Dr. Nchimbi akiambatana na Katibu Mwenezi, Ndugu Makalla kukagua utekelezaji wa Ilani.
Singida chini ya M/kiti mahiri, Bi Mlata, kwa hakika wataridhika na utekelezaji wa ilani.